Tunaamini watendaji wakuu wa serikali yaani Mawaziri, Makatibu wakuu, maRC, DC na wateuliwa wote wa kisiasa na kitendaji ndio chanzo cha mafanikio au maanguko ya Rais na serikali yake.
Mtu anateuliwa kushika nafasi ikiaminika ni mkweli, jasiri na hana woga wala unafiki na atamshauri vyema Rais kwa manufaa ya nchi.
Hii hali aliyo nayo RC wa Dodoma mbele ya Rais je anaweza kuwa reliable kumshauri Rais jambo zito?
Anaweza kumfahamisha jambo ambalo anajuwa lazima Rais atachukizwa nalo lakini ndio ukweli?
Sasa hali inaonyesha wateule wengi sana (eg Kabudi, Jafo, Makonda etc) ndivyo walivyo na mikwamo mingi inachangiwa kwa kiasi kikubwa na hulka hii
View attachment 1274048