Tuwe wakweli, huyu anaweza kumshauri Rais?

Tuwe wakweli, huyu anaweza kumshauri Rais?

Tunaamini watendaji wakuu wa serikali yaani Mawaziri, Makatibu wakuu, maRC, DC na wateuliwa wote wa kisiasa na kitendaji ndio chanzo cha mafanikio au maanguko ya Rais na serikali yake.

Mtu anateuliwa kushika nafasi ikiaminika ni mkweli, jasiri na hana woga wala unafiki na atamshauri vyema Rais kwa manufaa ya nchi.

Hii hali aliyo nayo RC wa Dodoma mbele ya Rais je anaweza kuwa reliable kumshauri Rais jambo zito?
Anaweza kumfahamisha jambo ambalo anajuwa lazima Rais atachukizwa nalo lakini ndio ukweli?
Sasa hali inaonyesha wateule wengi sana (eg Kabudi, Jafo, Makonda etc) ndivyo walivyo na mikwamo mingi inachangiwa kwa kiasi kikubwa na hulka hii
View attachment 1274048
Haha mzee RC ana maguphobia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna lolote, CAG alijiamini nini kilitokea? Kimsingi huyo jamaa hayo mamlaka ni makubwa kuliko busara zake zinapoishia.
CAG alionyesha dharau kwa mhimili akavimba kichwa. Cheo ni dhamana maana yake usijisahau unapopewa nafasi.
 
Tunaamini watendaji wakuu wa serikali yaani Mawaziri, Makatibu wakuu, maRC, DC na wateuliwa wote wa kisiasa na kitendaji ndio chanzo cha mafanikio au maanguko ya Rais na serikali yake.

Mtu anateuliwa kushika nafasi ikiaminika ni mkweli, jasiri na hana woga wala unafiki na atamshauri vyema Rais kwa manufaa ya nchi.

Hii hali aliyo nayo RC wa Dodoma mbele ya Rais je anaweza kuwa reliable kumshauri Rais jambo zito?
Anaweza kumfahamisha jambo ambalo anajuwa lazima Rais atachukizwa nalo lakini ndio ukweli?
Sasa hali inaonyesha wateule wengi sana (eg Kabudi, Jafo, Makonda etc) ndivyo walivyo na mikwamo mingi inachangiwa kwa kiasi kikubwa na hulka hii
View attachment 1274048
😆😆😆
 
Jiwe ana katabia ka kutembea na hirizi za kuwapiga watu hofu
sasa kama kuna hilizi za hivyo si wasidizi wake wazitafute ili nao wamtie hofu kinashindikana nini tena kama anayo moja wawe nazo nata nane ili akikuona asujudie kabisa mkimzunguka watu kumi mnazo anaachia madaraka kabisa kwa hiari
 
Imenikumbusha nyimbo moja ya dini nadhani iliimbwana na Mwanza Town Choir miaka hiyo nyimbo inasema "Heka heka hekaheka za wokovu..."
jamaa umekula chumvi kiasi nadhani ni ya AIC makongoro ama sio?
 
Tunaamini watendaji wakuu wa serikali yaani Mawaziri, Makatibu wakuu, maRC, DC na wateuliwa wote wa kisiasa na kitendaji ndio chanzo cha mafanikio au maanguko ya Rais na serikali yake.

Mtu anateuliwa kushika nafasi ikiaminika ni mkweli, jasiri na hana woga wala unafiki na atamshauri vyema Rais kwa manufaa ya nchi.

Hii hali aliyo nayo RC wa Dodoma mbele ya Rais je anaweza kuwa reliable kumshauri Rais jambo zito?
Anaweza kumfahamisha jambo ambalo anajuwa lazima Rais atachukizwa nalo lakini ndio ukweli?
Sasa hali inaonyesha wateule wengi sana (eg Kabudi, Jafo, Makonda etc) ndivyo walivyo na mikwamo mingi inachangiwa kwa kiasi kikubwa na hulka hii
View attachment 1274048
Chakaza,

Mbona wapo wengi tu na ni washauri wazuri tu. Fahamu kitu kimoja waafrika wengi tabia zetu mtu akikuzidi kiumri unapoongea naye ilikuwa ni mwiko kumuangalia uso kwa uso, hiyo inaonekana kama dharau, wakati kwa wenzetu weupe tangu utotoni wanafundishwa kumuangalia anayewasiliana naye uso kwa uso. Sifahamu una miaka mingapi lakini hiyo ndio tabia ya wengi Watanzania wenye miaka kuanzia 35 na kwenda juu. Huu utamaduni wa uso kwa uso umeanza kuenezwa hivi sasa. Kwa hiyo usiangalie hiyo ni kama nyenzo ya kutoweza kupata ushauri mzuri.


Lingine hata Ulaya hiyo tabia ipo kwa viongozi wa juu kabisa, lakini imejificha sana inabidi uwe makini kuing'amua. Sio kila tabia ya weupe ni nzuri kuna tabia zao nyingi tu zinachefua.

JPM ni msikivu sana inabidi ufahamu mwelekeo wa awamu hii ya 5 inataka kuwafanyia nini Watanzania, hilo ndio muhimu mengine haya ni malolosololoso tu.
 
Tunaamini watendaji wakuu wa serikali yaani Mawaziri, Makatibu wakuu, maRC, DC na wateuliwa wote wa kisiasa na kitendaji ndio chanzo cha mafanikio au maanguko ya Rais na serikali yake.

Mtu anateuliwa kushika nafasi ikiaminika ni mkweli, jasiri na hana woga wala unafiki na atamshauri vyema Rais kwa manufaa ya nchi.

Hii hali aliyo nayo RC wa Dodoma mbele ya Rais je anaweza kuwa reliable kumshauri Rais jambo zito?
Anaweza kumfahamisha jambo ambalo anajuwa lazima Rais atachukizwa nalo lakini ndio ukweli?
Sasa hali inaonyesha wateule wengi sana (eg Kabudi, Jafo, Makonda etc) ndivyo walivyo na mikwamo mingi inachangiwa kwa kiasi kikubwa na hulka hii
View attachment 1274048
Swali la kuuliza hapa ni, rais anashaurika?

Kuna wqtu washaleta ujasiri wa kumshauri, mambo ya msingi, akawatumbua.

Hataki kushauriwa.

Mwenyewe kashasemanwazi hapangiwi.

Sasa hapo utamlaumu mtu kwa kutomshauri vizuri?
 
Mmoja wa washauri wakuu wa Ngosha ni rafiki yangu wa karibu. Zipo njia za kisomi za kumshauri na akapokea ushauri.

Mwaka juzi alitaka kwenda kupumzika chato wakati uwanja bado haujakamilika. Jamaa yangu akamkatalia, waziri na naibu wakamtumia ujumbe jamaa lakini bado akakataa kwa kigezo kuwa ndege ya raia namba moja haiwezi kutua katika uwanja mbovu.

Bwana mkubwa akasafiri na gari mpaka huko kwake alikozaliwa. Baada ya siku chache Kiongozi mkuu akampigia simu jamaa na kumwambia ni kweli uwanja bado haujamalizika.

Ni baada ya uwanja kumalizika ndipo ndege imetua huko kwake.

Wasomi wengi wa kitanzania wanashindwa kujenga hoja za kina na zenye mantiki, ingawa mkuu kabisa analo tatizo la ubishi usio na sababu.
Eeenh, huu nao ni 'ushauri'?

Haya ndio mambo ya kumshauri Rais, halafu na kuyaleta hapa kama mfano wa kushauri?

Hayo mambo mazito zaidi anayohitaji ushauri wenu mbona hammshauri. Kuna jambo gani zito zaidi kuliko mvuruganyo wa umoja wetu wa kitaifa? Kwa nini hammshauri aachane na kutuvurugia umoja wa nchi yetu kwa kuchochea uCCM na kuona wengine wasiokubaliana na hayo kuwa ni maadui?

Halafu unakuja hapa na kujisifu kuwa na rafiki anayetoa ushauri. Huyo rafiki yako uliwahi kumweleza chochote kuhusu mammbo mengi tu anayohitaji ushauri juu yake?
 
JPM ni msikivu sana inabidi ufahamu mwelekeo wa awamu hii ya 5 inataka kuwafanyia nini Watanzania, hilo ndio muhimu mengine haya ni malolosololoso tu.
WaTanzania wamekuwa mali yenu...,kama mifugo hivi au sio? Eti"awamu hii inataka kuwafanyia nini"? Mtu mzima unajitoa ufahamu kiasi hiki, halafu unajidai umesoma? Hiyo shule imakusaidia kitu gani!
 
Tundu lissu
Mnakuja tu,huyo hawezi hata kujishauri akanye. Tena mumkumbushe miaka mi5 kuwa ukimbizi kisiasa akijaambiwa ondoka atatafuta pa kwenda.au wanamrudisha direct na ndege yao
 
Ndio hulka zetu na haya mambo asili yake ni tangu enzi za uchifu kabla wakoloni hawajaja Afrika.

Kila mtu anaogopa kupoteza mkate wake kiasi cha kuwa tayari kunyenyekea hata kama kiuhalisia anajishusha sana.

Lakini ukijivua uoga na ukaongozwa na mantiki zenye kueleweka huyu huyu pichani ni muelewa sana. Unapokuwa nae kikazi usipaniki hata kidogo.

Hamnaga aibu nyie.
 
Huyo huyo wa Dodoma katika hiyo video alisifiwa kwa utendaji wake na Ngosha hadharani kwa kufanya kazi nzuri.

Kushauriwa anashauriwa na anashaurika.Suala kama kushughikia mishahara hewa sio uamuzi wake mwenyewe ni matokeo ya ushauri.

Yapo mengi tu anayoshauriwa na kina Mahiga na Kabudi na yanatekelezwa.

Kabudi yule aliyeshukuru kwa kumtoa jalalani?
 
27 November 2019
Bora huyu wa Igunga anamweleza hali halisi ya matatizo ya watu na watu wanashangilia sana Mh. Rais kuambiwa hakuna hela mifukoni na aachie hela, sasa sikiliza majibu ya Mh. Rais anasema fanyeni kazi ni kama vile watu hawafanyi kazi kumbe kuna matatizo ya masoko, malipo n.k kwa kazi walizofanya wananchi


Huyo mwananchi ni mwamba sana na ameeleza ukweli wa maisha yaliyoko huku mtaani,wasiwasi wangu tu ma dso/rco,tra,uhamiaji kuanza kumsumbua sumbua huko mtaani,
 
Swali la kuuliza hapa ni, rais anashaurika?

Kuna wqtu washaleta ujasiri wa kumshauri, mambo ya msingi, akawatumbua.

Hataki kushauriwa.

Mwenyewe kashasemanwazi hapangiwi.

Sasa hapo utamlaumu mtu kwa kutomshauri vizuri?
Mkuu, nadhali swali lilikuwa Huyu anayeonyesha woga hadi kutetemeka anaweza kumshauri mkuu wake anayemuogopa?
Hapo ni regardless huyu anayeshauriwa anapokea au hapokei ushauri!
 
Mkuu, nadhali swali lilikuwa Huyu anayeonyesha woga hadi kutetemeka anaweza kumshauri mkuu wake anayemuogopa?
Hapo ni regardless huyu anayeshauriwa anapokea au hapokei ushauri!
Unaelewa maana ya msemo wa Kiingereza wa "Blaming the victim" ?
 
Back
Top Bottom