Recent content by mastori

  1. M

    JamiiForums Tanzania Recho Temu akalia kuti kavu Kenya

    RECHO TEMU AKALIA KUTI KAVU KENYA Wakati Nchini Kenya Jana ikiwa busy na Vuguvugu la Vijana wa Kisasa maarufu kama Gen Z wakiendelea kupambana na Serikali ya Ruto, huko katika Viunga vya Mahakama ya Kenya ya Kahawa Court Mtanzania Socialism mwenye mbwembwe na Matusi anayejiita Diplomatic...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu BoT kuongeza umakini katika hizi Benki

    Leo nilikua napitia mtsndso nikakutana na Hii habari ya Boss wa Equity Bank ya Uganda kukamatwa kwa Kosa la kutakatisha Fedha. Ns fedha hizo ni za Mikopo ambayo wananchi ndio wanachukua. Hii inapelekea wakopaji kujikuta wanalipa fedha nyingi kuliko walichokopa sababu tu ya baadhi ya wafanyakazi...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu BoT kuongeza umakini katika hizi Benki

    Leo nilikua napitia mtandao nikakutana na Hii habari ya Boss wa Equity Bank ya Uganda kukamatwa kwa Kosa la kutakatisha Fedha. Na fedha hizo ni za Mikopo ambayo wananchi ndio wanachukua. Hii inapelekea wakopaji kujikuta wanalipa fedha nyingi kuliko walichokopa sababu tu ya baadhi ya wafanyakazi...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wako akikusaliti, achana nae, tafuta mwingine anayekupenda, endelea na maisha

    Napenda kuwasihi wanajamii, kwa kuzingatia matukio ya wapendanao kudhuriana. *Napenda kuwashauri Wanandoa na Wapenzi, pale mmoja wa wapenzi anapomsaliti mwenzake, kufanya vurugu sio suluhu ni vyema kusitisha uhusiano huo na utafute mwingine anayekupenda kama unavyompenda. Ikumbukwe kwamba...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mkwawa Leaf yawakomboa Wakulima wa Tumbaku

    MKWAWA LEAF YAWAKOMBOA WAKULIMA WA TUMBAKU Kampuni ya Mkwawa Leaf Tobacco imeshusha neema kwa Wakulima wa Tumbaku nchini, Kampuni hiyo inatojishughulisha na Ununuzi wa Tumbaku nchini imeungana na Sera ya Serikali ya Kilimo katika Kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hasan kwa kuhakikisha...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Marcas Amechukua fomu ya UNEC Mkoa wa Arusha

    Mfanyabiashara Richard Paul Maarufu la Jina la Marcas Amechukua fomu ya UNEC Mkoa wa Arusha Mapema leo katika Ofisi za CCM Arusha. Wakati akichukua fomu hiyo Richard alitanabaisha Nia yake ya dhati ya kuongoza chama hicho katika nafasi hiyo na kuwa Muwakilishi wa nafasi ya UNEC akiwakilisha Mkoa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Recho Temu akamatwa Kenya

    Mdogo wa Balozi wetu huko ushuani anayewakilisha Taifa UN huko akamatwa Nchini Kenya, hivi tunavyoongea yupo lockup ana kesi sita nchini Kenya. Baada ya kukamatwa leo huku nyumbani dada yake anahaha kutafuta njia ya kumtoa mdogo wake mikononi mwa Polisi. Ikumbukwe Recho amekimbia kesi huko...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shoga yangu kachemka

    Nazungumza na wewe mwanamke. Baraka yako ipo kwa mumeo, ukipata bahati ya kuolewa na mume ambaye anatimiza majukumu yake kama mume kaa kwa kutulia, muheshimu mumeo shoga, Muheshimu sana maana huyo baba ndiye Mungu wako wa hapa duniani. Shogaaa huwezi pambana na mwanaume NEVER, yqani ukiona...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hoyce Temu kaanza mwaka vibaya

    Huko mitandaoni kuna Pepa la Hoyce Temu kutoka UN, Watasha wameropoka mbaya, Nimeliona kwa Mange kimambi na kwa @tzshadeeroom_backup inasemekana mwakilishi wetu huko Geneva alikua anazipiga sana chapaa za UN na alikuwa anatumia vyeo vya watu kupenya na kupiga mpunga. Yaani kwenye pepa ametajwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Peter Gasaya, Boss wa JATU apandishwa Mahakamani. Wale mliotapeliwa na JATU poleni

    Hii Jatu si Mrisho Mpoto alikua ana ipa Promo?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Recho Temu amdharau Askofu

    RECHO TEMU RECHO TEMU RECHO TEMU Tukiwa tumetoka kusherehekea kuzaliwa kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo wa Nazareti, Tunasherehekea mwanzo wa Safari ya ukombozi wetu. Yesu ametufunza upendo na heshima kwa viongozi wetu, Kiimani mimi mi Mkristo wa kanisa la Kilutheri. Ninaheshimu misingi na...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Recho Temu amdharau Askofu

    RECHO TEMU RECHO TEMU RECHO TEMU Tukiwa tumetoka kusherehekea kuzaliwa kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo wa Nazareti, Tunasherehekea mwanzo wa Safari ya ukombozi wetu. Yesu ametufunza upendo na heshima kwa viongozi wetu, Kiimani mimi mi Mkristo wa kanisa la Kilutheri. Ninaheshimu misingi na...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Recho Temu amdharau Askofu

    Tukiwa tumetoka kusherehekea kuzaliwa kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo wa Nazareti, Tunasherehekea mwanzo wa Safari ya ukombozi wetu. Yesu ametufunza upendo na heshima kwa viongozi wetu, Kiimani mimi mi Mkristo wa kanisa la Kilutheri. Ninaheshimu misingi na Miongozo ya kanisa langu. Leo nimepita...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Recho Temu aingia pabaya

    RECHO TEMU AINGIA PABAYA Jamani yaani tumbo la Uzazi hadi linanikata kwa kweli. Mwanadada mwenye makeke yake, Mdogo wa mwana diplomasia na Balozi wa Nchi yetu huko ughaibuni atamuua dada yake sasa maana hata huko polisi watamchoka kila siku ni majanga. Kwenye hili namshauri bidada akae mbali tu...
Back
Top Bottom