Mdogo wa Balozi wetu huko ushuani anayewakilisha Taifa UN huko akamatwa Nchini Kenya, hivi tunavyoongea yupo lockup ana kesi sita nchini Kenya.
Baada ya kukamatwa leo huku nyumbani dada yake anahaha kutafuta njia ya kumtoa mdogo wake mikononi mwa Polisi. Ikumbukwe Recho amekimbia kesi huko Tanzania na amekimbia dhamana. Za ndani kabisa ni kuwa Balozi alikua akipiga simu kwa IGP kuomba msaada wa ndugu yake.
Mama yetu Samia Suluhu Hassan, watu wengi wamedhalilishwa na huyu binti anayejiita Diplomatic wife. Amekua akisaidiwa na dada yake kwa kutumia cheo ambacho umeona anafaa kukitumikia kwa maslahi ya nchi yetu lakini amekua akitetea uovu wa mdogo wake huku akitumia cheo chake kupokonya haki za wananchi kwa kumlinda mdogo wake.
Tunaomba Jeshi la Polisi kutekeleza wajibu wake ipasavyo kwa binti huyu pindi atakapofikishwa kwenye vyombo vya sheria nchini Tanzania.
Finally Recho Temu apatikana.View attachment 2497693View attachment 2497694View attachment 2497695
Baada ya kukamatwa leo huku nyumbani dada yake anahaha kutafuta njia ya kumtoa mdogo wake mikononi mwa Polisi. Ikumbukwe Recho amekimbia kesi huko Tanzania na amekimbia dhamana. Za ndani kabisa ni kuwa Balozi alikua akipiga simu kwa IGP kuomba msaada wa ndugu yake.
Mama yetu Samia Suluhu Hassan, watu wengi wamedhalilishwa na huyu binti anayejiita Diplomatic wife. Amekua akisaidiwa na dada yake kwa kutumia cheo ambacho umeona anafaa kukitumikia kwa maslahi ya nchi yetu lakini amekua akitetea uovu wa mdogo wake huku akitumia cheo chake kupokonya haki za wananchi kwa kumlinda mdogo wake.
Tunaomba Jeshi la Polisi kutekeleza wajibu wake ipasavyo kwa binti huyu pindi atakapofikishwa kwenye vyombo vya sheria nchini Tanzania.
Finally Recho Temu apatikana.View attachment 2497693View attachment 2497694View attachment 2497695