Recent content by master of cities

  1. master of cities

    TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

    Bongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimya
  2. master of cities

    Ndoto inayojirudia ya kuokota pesa za sarafu ina maana gani?

    Utapopolewa ww kupenda vya bure , mwisho wakutoe kafara ..
  3. master of cities

    Mafua ni ugonjwa jamani!

    Tumia limao, kitunguu swaumu na tangawizi , changanya kunywa , kama Hali itazidi Kwa sku mbili basi huo ni ugonjwa mwingine na umekuja Kwa Dalili ya mafua , Kwa uhuni uhuni wako na kupenda nyuzi za ngono hapa jukwaani nakushauri ukienda Anza na kupima Ukimwi
  4. master of cities

    Tatizo la ngozi linanitesa

    Tafuta specialist mwingine , ugonjwa wa ngozi kupona kwake ni taratibu Sana ,
  5. master of cities

    Orodha ya mataifa yenye jeshi lenye nguvu kubwa duniani

    Vita ndo hudhihirisha nan mbabe , hzo takwimu za kimchongo japo Kwa USA ni sahihi sababu mda wote yeye yupo vitani na yeye ndo anaingoza kila kitu
  6. master of cities

    Jinsi ya kuongeza uwezo wako wakati katika tendo la ndoa

    Mtu anayewaza ngono masaa haya ni trash tanker
  7. master of cities

    Taja Barabara kali zinazovutia Kudrive, Sikonge - Mpanda haina wa kulinganisha

    Achana na hayo matap tap ya barabara wewe chawa , barabara ni moja Tu Segera - Tanga
  8. master of cities

    Wabunge 128 wanafaida gani kwa nchi?

    Hii nchi inatakiwa iwe na wabunge 50 tuu, humo Pamekaa kundi la walaji tuu
  9. master of cities

    Rais FIFA atoa pongezi kwa Club ya Yanga SC

    Simba watafukua twitt za Blatter akiwapongeza miaka Ile wakichukua na wao ubingwa , bas Tu na wao waonekane washawah pongezwa
  10. master of cities

    Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

    Ila Lowasa jaman apewe maua yake , tatizo kubwa la hii nchi ni Elimu wazee ,
  11. master of cities

    Prof Nabi "The big brain coacher (BBC)" bado Wana Yanga tunaimani kubwa sana na wewe

    Tatizo timu ina wajuaji wengi hii kila mmoja alitaka sifa , timu ikishakuwa na wajuaji wengi hamna kitu , Kwa mwarabu kila refa atapigwa million 300 , Kama mameloud alivyofanywa , Yanga lazima age nyingi
Back
Top Bottom