Hoja sio ya mtoa uzi,mtoa kanukuu yaliyo andikwa na gazeti la mtanzania,kama unaitaji ufafanuzi nenda ofisi za gazeti hilo au nenda kahoji ufafanuz bungen.
Huyu Dada anaitwa Enica (mpenzi wangu) nimekuanae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 9 sasa cha ajabu ukitamka neno kufanya mapenzi anageuka mbogo mwanzoni nilivumilia kama miezi mitatu ya kwanza kwa kujua bado mapema sana kunipatia kipapuchi,baada ya miezi mitano nikaanza kuishi nae kigetho...
Hacha umandazi wewe kipindi wanapiga hizo dili walikuwa awalidhalilishi taifa??kuna watu wamekufa kwa kukosa dawa hospitalini eti nchi haina hela ya kununua dawa kumbe hela zote zipo kwa hao wapiga dili.ndio muda wao kudhalilishwa dunia ijue wezi walio lighalimu taifa hill.
Wewe fanya kazi zako upeleke watoto shule,maswala ya wasanii wanatakiwa kufanya kazi zenye uweledi na mvuto kwa mashabi automatically mashabiki watasaport tu kitu kizur wewe unataka kila msanii apewe saport wakati kazi yake hata yeye mwenyewe awezi kuisaport coz mbaya
Dah kweli mm mwenyewe nmekutana na wakina mama wanaangaika usafiri wa kurudi igombe...wakawa wanalialia waliambiwa watarudishwa bure igombe wametelekezwa na hawana nauli nikwaonea huruma kwani wengine walikua na watoto wadogo mgongoni ikabidi niwape buku 5..walishukuru ila walinihaidi watampigia...
Hom kuna watoto Wawili wa secondary wakawa wanataka kwenda kwenye mkutano wa magufur nikawauliza nani kawapa ruhusa ya kwenda huko...jibu sasa jana tuliambiwa na walimu tuende..nkapiga mkwala hakuna kwenda hakwenda mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.