Kura Yangu Magufuli, wewe Je?

mi kura yangu ni kwa lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Kura yangu na make wangu, na babu yangu na bibi yangu ni kwa Edward Ngoyai Lowassa

Edward Ngoyai Lowasa

Edward Ngoyai Lowassa na mke wangu na familia pamoja na marafiki zangu wote nliosoma nao Primary,Secondary,High level na vyou wote waNampa Lowassa

Lowasa bila Shaka
12112021_10203843449044939_3892930852088265146_n.jpg
 
Kama watu wengi wanaojitambua mimi nitampa kura yangu mh LOWASA.
 
Back
Top Bottom