feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,594
- 4,198
Du huyo piga chini....
Ampige chini wakati yeye ndo alimpa hizo mimba na walishirikiana kutoa
Du huyo piga chini....
Ampige chini wakati yeye ndo alimpa hizo mimba na walishirikiana kutoa
Huko nyuma tulikuwa hatuna migogoro yoyote mimi na my wife wangu to be.Na kusema ukweli kama ilivyo desturi yetu watu wa kabila langu mimi ndio nilikuwa nimeyashika mahusiano yetu,Mchumba wangu hakuwa anasema kitu mbele yangu yaani ilikuwa hata ikiwa kosa nimefanya mimi kwa kutumia maneno yangu na kipaji chetu cha kuongea ningeweza kubadili kesi bila wasiwasi wowote na kuihamishia kwake na kuimaliza kwa kuzivunja vunja hoja zake.
Mwezi huu mwanzoni nilipeleka barua ya posa kwako na majibu nimeshapewa hapa nakichanga ili mwezi ujao nipeleke mahari kwao,huyu bibie ni mdigo wa huko Tanga
Tuna miaka 9 kwenye mahusiano yetu toka enzi zile tupo Secondary na msichana wangu kusema ukweli ni mpole na mwenye huruma mno ila mabalaa yameanza hapa juzi juzi tu amekuja na tabia mpya za tofauti kabisa mpaka naanza kumuogopa.
Kuna siku nilienda kumtembelea kazini kwake mida ya lunch nikamtoa kwenye hoteli ya karibu tukaagiza chakula pale mara akaanza kuniangalia kwa makini kwenye kola ya shati langu kabla sijajibu akaanza kufoka ile alama ya Lips shine imefikaje kwenye shati langu nikiwa nimepigwa na butwaa maana sikuwa na nimetoka kuchepuka siku hiyo mwezangu saa nyingi kumbe kishainuka na kurudi kazini kwao bila hata kumaliza chakula chake.Kurudi kwenye gari nikaangalia kwenye kioo hiyo sehemu aliyosema na kusema ukweli hakukuwa na kitu chochote cha tofauti.Zamani ili pambano ningeshinda kirahisi ila hapa akashinda yeye
Siku nyingine nilienda kumpitia kazini kwake ili twende kwangu maana ndio ilikuwa ahadi yetu.ghafla tukiwa njiani akaiona miswaki miwili mipya iliyokuwa juu ya Dash Board akaanzisha ugomvi mkubwa kuwa muda huo nitakuwa nimetoka Hotel na mwanamke ndio maana nimebeba ile miswaki kutoka hotel kwa hiyo hakubali na wala hawezi kwenda kulala na mwanaume ambae ametoka kulala na mwanamke mwingine gest kwa hiyo nimpeleke kwao akiwa kanuna na kuvimba kwa hasira.nikampeleka kwao kwa shingo upande maana sikuwa nimetoka huko aliposema hapa napo akanishinda
Jumapili iliyopita kaja kwangu kwa kustukiza kama Magufuli kanikuta natoka mazoezini mkononi nikiwa nimebeba hotpot lenye supu ambayo nimetoka kununua akaanza maneno kuwa ile supu nimetoka kuchukua kwa mwanamke wangu kwa usalama wangu nimpeleke kwa huyo malaya mwenzangu au nimwage ile supu la sivyo anaondoka zake.Nikagoma kumwaga supu wala kumpeleka nilipoitoa akaondoka zake hapa nikashindwa tena kwa mara ya tatu mfululizo
Kubwa zaidi jana akaja kulala kwangu baada ya kufanya ushawishi mkubwa mno.Usiku wakati tunajiandaa kuivunja amri ya 6 simu yangu ikaita ikabidi tusitishe kwa muda maana ilikuwa ni simu ya biashara mimi sio muajiriwa ni misheni town tu nikatoka mara moja kwenda kupiga deal yeye nikamuacha ndani.nilichelewa kurudi kidogo nilivyorudi nikamkuta kalala na akagoma kabisa kunipa Tunda kwa sababu nimetoka kwa mwanamke wangu mwingine kwa hiyo siwezi kuiweka dudu yangu kwenye papuchi yake.Nikamshawishi usiku kucha akagoma kabisa na vibao akanipiga mbali na vichambo nilivyopewa.Kwa mara nyingine tena akanishinda.
Kusema kweli nimeanza kupata na mashaka na muenendo wake wa siku hizi.Kabadilika huku nguvu yangu ya kumshawishi ikiwa imepungua kabisa kama sio kwisha yaani kutoka kumuongoza yeye mpaka kuongozwa mimi ameanza kuwa na tabia mpya za ubabe na utemi.Yote haya yameanza baada ya kupeleka barua ya Posa kwao.
Je,Niendelee na mipango ya kupeleka mahari kwao au niuchune maana kwa kabila letu ni mwiko kuoa mwanamke ambae atakwenda kukutawala kwenye nyumba.
Asante
Miaka 9 duh si mshamaliza styles zote?!
Tehe tehe mshukuru Mungu hujaoa bado. Fikiria ungekuwa ushaoa halafu ndo unafanyiwa hivyo. Mwambie unasitisha huo mpango wa kuoa atanyooka tu
Atakuwa amewaza mengi uliyomfanyia, akafikia point ya kusema una mdharau sasa anarudisha heshima yake. Umeshiriki nae kutoa hizo mimba 3, watoto wake watatu wamekufa mikononi mwako ukijua kabisa. Bado makosa unayofanya hutambui kama makosa unamhamishia yeye. Unamuona mjinga na poyoyo mwenzio, analiona hilo. Unadhani ulipokuwa unamgeuzia kesi alikuwa hajui? Alijinyenyekeza ili matatizo yaishe lkn unaonekana kwa akili yako ya kitoto uliamini unashindana eti ukashinda.
Tulia nae sehemu na umuulize na umuombe msamaha, anaweza kuwa alikuwa haongei lkn ana mengi moyoni mwake hasa uliyomuumiza nayo.
Tengenezeni wenyewe na mtengeneze na Mungu ili muwe na ndoa ya furaha.
Mwanamke huwa hacharuki bila sababu hasa kwa tabia uliyomuelezea huyo mpenzi wako.
Ngoja nkuambie rafiki yangu.ulivoenda kuposa akapata confidence ya umilikia halali (japo suo kwa ndoa).hiyo ikamdhihirishia kuwa uko serious....that means aka-create ownership...yani ukawa wake haswaaa.so wala si mabadiliko ila analinda kilichochake......pole ila jitahidi kumfahamu mwenzako vizuri.
Wakifunga ndoa na hanemuni wataenda!!
mzaramo mahusiano sio kushindana ni vyema kutumia busara zaidi kuliko hivyo unavyofanya. mambo ya kuwa kwenye Kabila lenu eti wanaume ndio mko hivyo.., hayo yanepitwa na wakati! Ni vyema kuendeleza yake yenye faida ktk mahusiano na kuyaweka pembene yake yanayomkandamiza mwanamke!!
Ila pole kwa kushindwa kwa mara 3 mfululizo!
mkuu nimejitaidi mno kujishusha kwake hasa kwa kipindi hiki ili mambo ya mahari yapite maana kwa uhusiano wetu ulivyo kwa sasa kupeleka barua mahari kwao bila kusawazisha itakuwa sio sawa...ila nachukua ushauri wako mkuu ngoja nimuombe msamaha tu ili yaishe maana yakishindikana itakuwa aibu kubwa kwangu