Huo msikiti ulikuwa unajengwa eneo gani au college gani hapa UDOM maana mimi nipo UDOM na sijaona msikiti uliokuwa ukijengwa na ukabomolewa au ni stori ya kutunga ili kupata tension ya watu?
Kuchafua taasisi kwa uchafu wa wanafunzi wenyewe sio vizuri. Vile vile kila siku chuo kimeweka utaratibu wa wafanya usafi kusafisha kila asubuhi isipokuwa jumapili. Kwa kifupi wanafunzi ni wengi wao ni wachafu.
Sio kwamba vyoo always ni vichafu, wanafunzi ni wachafu hususani mwaka wa kwanza kwa sababu tangia wafike chuoni hawaiingi na maji na wala hawana ndoo za maji, vile vile wengi wao inawezekana wamezoea uchafu kwa sababu za mazingira wanayotokea. Mimi nipo hapa CIVE before first year hawajafungua...
Leo Messi, still without the medical all-clear, is part of a list of 22 players that also includes Chumi and Iñaki Peña from Barça B
Leo Messi will travel to Milan with the rest of the first team squad. He will do so without the medical...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.