Habari zenu wanajukwaa,
Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza kuna uhusiano gani ulipo kati ya mkojo na ujauzito, kupima mkojo kwa wadada imekuwa njia mojawapo kubwa ya kujua kama mtu ni mjamzito au la, wajuzi mtuambie uhusiano uliopo.
hapana brother...kama ukitaka urahisi wa kwenda ukifika ubungo, kunamagari yanaitwa SALMIN, Ndio maarufu yanaenda ngerengere, ambapo ukimwambia konda akushushe kizuka ni pua na mdomo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.