Recent content by Masigo Jr

  1. Masigo Jr

    Bora tuachane, nasema sio ridhiki yangu

    Akitoka kwako mwambie aje kwangu...me nammudu..nimeku DM namba yangu mkuu.
  2. Masigo Jr

    Hatua nilizopitia mpaka kufika Ukraine, na bado niko njiani kwenda nchi ya ahadi Norway

    Wakati kuna wengine kazi kuangangalia series za kikorea tu...noma sana...[emoji23][emoji23]
  3. Masigo Jr

    Jina gani hutaki kulisikia linalokuumiza kimapenzi?

    Wanaume mnaolia lia sana mnapenda KITONGA inaonekana.
  4. Masigo Jr

    Leo nimeshuhudia pepo linamuingia mtu

    Umeanza vizuri...lkn umezingua badae...
  5. Masigo Jr

    Uhusiano wa mimba na mkojo

    Habari zenu wanajukwaa, Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza kuna uhusiano gani ulipo kati ya mkojo na ujauzito, kupima mkojo kwa wadada imekuwa njia mojawapo kubwa ya kujua kama mtu ni mjamzito au la, wajuzi mtuambie uhusiano uliopo.
  6. Masigo Jr

    Kwa hili la michango kuanzishwa shuleni kinyemela, wizara ya elimu ikubali kubeba lawama

    kiukweli Elimu bila malipo haiwezekani..ila serikali kichwa ngumu tu
  7. Masigo Jr

    Geuza simu yako kuwa na muonekano wa computer

    kitambo sana aisee, pindi hicho haikuwepo hiyo louncher kwenye app store, HTC hero (2012)
  8. Masigo Jr

    Wanaume wa mjini

    Hao hawana hata mwaka mjini hapa...
  9. Masigo Jr

    Msaada shule zinazomilikiwa na jeshi tanzania

    Mabasi yanekwenda Ngerengere ambapo yanaingilia ubena mbele kidogo ya chalinze..unafika bila wasiwasi
  10. Masigo Jr

    Msaada shule zinazomilikiwa na jeshi tanzania

    hapana brother...kama ukitaka urahisi wa kwenda ukifika ubungo, kunamagari yanaitwa SALMIN, Ndio maarufu yanaenda ngerengere, ambapo ukimwambia konda akushushe kizuka ni pua na mdomo.
Back
Top Bottom