Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Huyo ni Pepo wa ufukaraMwanamke mnapanga future mfanye investment kesho anakuletea bunda LA nguo na mawigi tutatoboa kweliii LEO NASEMA BORA TUACHANE
Huyo ni Pepo wa ufukaraMwanamke mnapanga future mfanye investment kesho anakuletea bunda LA nguo na mawigi tutatoboa kweliii LEO NASEMA BORA TUACHANE
Mkuu pesa ya Kula tu IPO SIO kwanmba fukara hivyo,, Ila huwezi kufuja Mali ungali kijana tunawekeza kwenye miradi ili one day tutoboe au SIO mkuuatafute mkali huku hana pesa, atampata vipi
hii mbinu sio nzuri, niliifanya long time, kilichotokea alisarimu majeshi mapema baada kugundua kuna mchura anataka kumpikuAcha kulalamika ngosha, tafuta mwingine faster mkali zaidi yake halafu hakikisha anamfahamu utaona mwenyewe mziki wake
Mimi nimekuelewa sana-Kunikosea unikosee wewe...... Msamaha niombe mm
- kupiga simu Nipige mm muda kidogo unakata.
- kupewa unyumba unipangie wewe,,, nalala njaa Huku gunia za Mchele zimejaa mtaaani.
-Nisipo kutafuta hunitafuti, ukinitafuta unaomba hela tu.
- Mwanamke kiburi kimekujaa mpaka kwenye kucha.
-kila ukipata hela unawaza kununua nguo tu, umejaza ndani mabegi yanguo utadhani roboti za mitumba ya makoroboi....
Nasema BORA TUACHANE.........
Pata Like ya kweli, kisha tuendelee na maisha ya baadae.-Kunikosea unikosee wewe...... Msamaha niombe mm
- kupiga simu Nipige mm muda kidogo unakata.
- kupewa unyumba unipangie wewe,,, nalala njaa Huku gunia za Mchele zimejaa mtaaani.
-Nisipo kutafuta hunitafuti, ukinitafuta unaomba hela tu.
- Mwanamke kiburi kimekujaa mpaka kwenye kucha.
-kila ukipata hela unawaza kununua nguo tu, umejaza ndani mabegi yanguo utadhani roboti za mitumba ya makoroboi....
Nasema BORA TUACHANE.........
Nimekusoma sanaaa kiongoz,,,,Pata Like ya kweli, kisha tuendelee na maisha ya baadae.
Jenga maisha yako , usijenge penzi kwa lazima na gharama kubwa; litakusumbua.

Sometimes itabidi ukubali kuwa umekutana na mtu ambae si chaguo lako. Yes sio chaguo lako.-Kunikosea unikosee wewe...... Msamaha niombe mm
- kupiga simu Nipige mm muda kidogo unakata.
- kupewa unyumba unipangie wewe,,, nalala njaa Huku gunia za Mchele zimejaa mtaaani.
-Nisipo kutafuta hunitafuti, ukinitafuta unaomba hela tu.
- Mwanamke kiburi kimekujaa mpaka kwenye kucha.
-kila ukipata hela unawaza kununua nguo tu, umejaza ndani mabegi yanguo utadhani roboti za mitumba ya makoroboi....
Nasema BORA TUACHANE.........
Duuuhh haya maneno Kuna binti Moja kawahi kuniambia siku eti tafuta pesa Kwanzaa Nitakuja kukupenda![]()
Hahaaaaaaa kumbeeeeUkizipata unaelekea mbele, siyo kwake tena.
Penda unapo pendwa ndugu.Achaaaa kabisa nimeamua kuachia ngazi
Akitoka kwako mwambie aje kwangu...me nammudu..nimeku DM namba yangu mkuu.

ungemwambia akafie mbele hukoDuuuhh haya maneno Kuna binti Moja kawahi kuniambia siku eti tafuta pesa Kwanzaa Nitakuja kukupenda![]()
Npo mkuu baada likizo fupi yaHahah!!
Mkuu upo?