Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza kuna uhusiano gani ulipo kati ya mkojo na ujauzito, kupima mkojo kwa wadada imekuwa njia mojawapo kubwa ya kujua kama mtu ni mjamzito au la, wajuzi mtuambie uhusiano uliopo.
Sababu mtoto(zygote)...au kijusi kinapokuwa tumboni mwa mama brain cells zake huzalisha aina fulani ya hormone ambayo baadae inaingia kwenye mfumo wa mama....na hutokewa kwa njia ya mkojo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.