Napenda kukujulisha kuwa NECTA haijapandisha alama za ufaulu kwa O-level. Usidanganyike!
Endapo kungekuwepo mabadiliko Baraza lingeujulisha umma wa Watanzania!
NECTA hawafanyi kazi kwa kubahatisha.
Ndio kwanza nimemaliza kusikiliza kipindi cha "THIS WEEK IN PERSPECTIVE " kinachorushwa na TBC1. Kipindi kimejadili mambo mengi mazuri, lakini la kusikitisha ni lugha iliyotumika ambayo ni Kiingereza, kisichofahamika kwa Watanzania walio wengi.
Hivi kweli vyombo vyetu vya habari vinafanya kazi...
Unanishangaza unaposema hali ni mbaya kwa kina dada. Je, hali ikoje kwa kina kaka?
Kumbuka hawa kina dada ndio wanataka kujidhalilisha wao wenyewe, kwani chuoni wamekwenda kwa lengo la kusoma na sio kuuza miili yao.
Wanaonadi miili yao, ndio hulka yao.
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.
Sielewi skins Dada Hawaii wana matatizo ya kisaikolojia au no wendawazimu umewasukuma kujichanganya NA Wayne WA wenyewe. Ndio kwanza tumemaliza kazi maalumu ya kuandaa vijana WA kidato change tano mwakani. Lakini ufuska wa kina dada...
Wana-ccm napenda kuwajuza kuwa pamoja na mabadiliko ya baraza la mawaziri yaliyofanywa na mhe. Jk, hakuna jipya tuwezalo kulitarajia kwani ufisadi bado ni sera ya ccm.
Kwa kufuta azimio la arusha, ccm walihalalisha ufisadi.
Kusema kweli ccm imetufikisha hapa tulipo. Tuna jamii yenye viongozi...
Nawasalimu wote wenye mapenzi mema na maendeleo ya nchi hii.
Nimekuja rasmi kwenye forum kutoa mchango wangu kwenye mada anuwai kwa lengo la kuelimishana.
Nimekuwa mwana ccm muda mrefu, ila kwa hakika hakuna jipya ambalo twaweza kulipata toka chama hiki kinachokumbatia ufisadi kama sera yao!
Kwa wenye mapenzi mema na maendeleo ya nchi hii, jibu ni CDM!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.