miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Na wewe njoo unidondoshee uone kama nitakuvalisha... Nami nadondosha suruali halafu nakuchapa nao tu
na ulivyo na ukame ndo balaa...
Na wewe njoo unidondoshee uone kama nitakuvalisha... Nami nadondosha suruali halafu nakuchapa nao tu
Huyu dada sijamuelewa! Jana jioni alipita na kikanga kimoja na t-shirt nyeupe. Nilivyomkaribia kanga ikadondoka! Haaa, kumbe kavaa chupi tupu nyeupe?
Nilijikaza nikaondoka zangu. Leo tena asubuhi wakati nafata ka nusu lita ka maziwa, nimekutana nae anatokea kwao, alinipita kidogo huku akiyatikisa, mara kanga ikaanguka! Oooh, leo mbaya sana hajavaa kabisa kufuli. Mmmh, mbona suruali yangu ya kitambaa inaota mlima?
Haka katabia wadada na wamama imekuwa mazoea. Hampendi kuvaa kitu kwa ndani zaidi ya chupi au tight huku mmefunika kanga tu hata kama mna ka safari karefu. Hivi mna maana gani? Wengine hatutaki haya mavishawishi bana! Badilikeni...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums