Mwanakijiji be precise kwenye hoja yako. huu uteja unaouzungumzia ni upi?
kukopa fedha kwa ajiri ya kutekeleza bajeti husika au kuomba fedha ili kupanga bajeti
Heading na content kama vimepishana sijui ulikosea kuandika au ndicho ulicho zamilia kukiandika by the way its the battle between smart phone v/s stupid boy.
Hapa ndipo tumefikia hatuna budi kudai katiba itakayo endana na wakati tulionao. Honestly cheo cha VP kwa katiba hii less functioning. Kwa Sababu katika presidential government na non-presidential government hii aina ya serekari yetu haipo upande wowote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.