Happy Sabath JF

Happy Sabath JF

Nini maana ya Sabato??
Naomba mnijulishe tafadhali
Sabato ni siku ya saba katika juma ambapo Mungu alikua ameshamaliza kazi yake yoote ya uumbaji siku sita.

Siku hii ya saba Mungu aliibariki na kuitakasa kwa maana ndio siku aliyoitumia kutazama kazi yoote aliyoifanya akaiona ni njema.

Mungu akatupatia siku hii pia kama ishara ya kumtambua yeye kama muumbaji wetu na si mwingine.

Hivyo kuitambua sabato ya siku ya saba aliyoibariki Mungu mwenyewe (sio siku yeyote) ni kukubali kwamba Mungu unaye muabudu ndiye muumbaji.

Nukuu:
Mwanzo 2:1-4
Kutoka 20:8-11
Suratubakar 2:65
Hizo ni nukuu chache kutoka kwenye bible na kuran tukufu
Ahsante
 
Hahahah! Umekumbusha dadangu ameolewa upande mwngne uwa akienda kanisan anacheka tu! Ukipata mtu wa imani yako ni vyema saana ila maisha mkuu!


mie kwanza nimestop nilisahau kuchovya maji ya pale mlangon mzee mmoja akaja akaninanga hatAri!since then siend!nasali tu jumuiya maana ile ni must
 
mie kwanza nimestop nilisahau kuchovya maji ya pale mlangon mzee mmoja akaja akaninanga hatAri!since then siend!nasali tu jumuiya maana ile ni must
Jamani! Ni hatar kwa sisi ambao tuna malengo ya kuolewa afu mchumba unapata wa iman nyngne ni hatar mamy
 
Jamani! Ni hatar kwa sisi ambao tuna malengo ya kuolewa afu mchumba unapata wa iman nyngne ni hatar mamy


mrad upendo haya mengine yanakuja automatic !km mie nafurah hakatai nikasali sabato kbs ila sio yy kwenda sabato
 
The spiritual rest, which God particularly intends in this Commandment, is this:

That we not only cease from our labor and trade, but much more, that we let God alone work in us and that we do nothing of our own with all our powers.

Happy sabath every one,


_______________________________________

Pumziko la kiroho, ambalo Mungu amekusudia hasa katika Amri hii ni hili:

Si tu kujitenga na kazi zetu ama biashara, lakini zaidi ni kujisalimisha kwa Mungu pekee afanye kazi ndani yetu, maana hatutendi kwa nguvu zetu wenyewe.

Nawatakia Sabato njema.

Shabbat Shalom.
 
Amen. The lesson at hand is titled: THE GOSPEL AND THE CHURCH. The summary is: A Christlike spirit shown in the church is a sign that God is among His people. God’s Spirit can be seen in the way we forgive those who sin and in the way that we bring them back to God. God’s Spirit also is shown in how we help one another through difficult times. And He is seen in the kindness we show to one another and to unbelievers.
 
Maana ya neno sabato ni PUMZIKO
Nashkuru Mkuu kwa kunifahamisha kwa maana Ya SABATO..KUA NI PUMZIKO
swali lingine
PUMZIKO LINAKUJA VIPI
YAANI LINAINGILIANA VIPI?KWA SABABU WATU WANAENDA KANISANI WENGINE WAKIKESHA KWA NYIMBO ZA KIDINI..
SASA HAPO PUMZIKO LINAKUJAJE HALIYAKUA WATU WANAKESHA WAKIOMBA
Samahani Mkuu nauliza kwa nia nzuri tu.ili nipate kufahamu
 
Nashkuru Mkuu kwa kunifahamisha kwa maana Ya SABATO..KUA NI PUMZIKO
swali lingine
PUMZIKO LINAKUJA VIPI
YAANI LINAINGILIANA VIPI?KWA SABABU WATU WANAENDA KANISANI WENGINE WAKIKESHA KWA NYIMBO ZA KIDINI..
SASA HAPO PUMZIKO LINAKUJAJE HALIYAKUA WATU WANAKESHA WAKIOMBA
Samahani Mkuu nauliza kwa nia nzuri tu.ili nipate kufahamu
Its okay bro,

Ukisoma vizuri post na kuelewa ni mwanzo mzuri wa kujibu swali lako juu ya pumziko lakini imeeleza ni pumziko la namna gani.

Kuna mtu ameorodhesha baadhi ya nukuu kutoka katika biblia, nakushauri pata muda jifunze taratibu utaelewa. Pia unaezakujibiwa maswali mengine mengi kupitia radio ya morning star .. jst tune 105.3 itakusaidia sana.

Ukiwa na jambo lolote kama hili ususite.
 
Back
Top Bottom