Kitengo cha fedha cha CHADEMA kinaaibisha Taifa

Kitengo cha fedha cha CHADEMA kinaaibisha Taifa

CCM mmepanic saana mnapoona Lissu bado yuko hai na kinacbowauma zaidi mnavyoona watanzania wanachanga pesa kuokoa uhai wa Lissu.

In short CCM bado mko kwenye mission yenu ya kumuua Lissu.
Kila hoja inajibiwa kwa style hii hii...ni hatari kwa ustawi wa nchi.kama hamuwajibiki kwa kidogo vipi kwenye kikubwa?
 
Donation kweli ni fedha ya umma na ndio maana kule Kagera bwana 'Umma' aliamua kuondoka na fedha zake akaelekea kusikojulikana...shikamoo muanzisha mada!
Ninavyokumbuka donations zote za Kagera ziliingizwa kwa RAS KAGERA na matumizi yakafuata utaratibu wa serikali.

By the way kama Kagera waliokosea je ni sahihi kuendelea kukosea?
 
Heading na content kama vimepishana sijui ulikosea kuandika au ndicho ulicho zamilia kukiandika by the way its the battle between smart phone v/s stupid boy.
 
Mimi sio muhasibu na hivyo nitauliza maswali kadhaa tupate ufafanuzi wa kihasibu.waasibu mliomo humu mtusaidie.

Je, ni sahii kwa fedha yoyote ya umma au iliyopitishwa kwenye mfumo wa umma au ukipenda dola kuwekwa kwenye accaunt yoyote isiyoeleweka kwa umma mfano account ya M4C?

Je, utaratibu wa malipo katika taasisi za umma ukoje?

Je, utaratibu wa michango kwenda na kutoka kwenye taasisi za umma ukoje?

Je, sheria za kuhamisha fedha kimataifa zikoje?

Je, kama kuna taratibu za kuhandle fedha za umma na ziko na ukiritimba tufanyeje?

Kuna utaratibu wowote au sheria yoyote inayosimamia uchangiaji wa fedha nyingi au kidogo kwa maslahi ya umma?

Je, Chadema kupitia muhasibu wa chama anahusika vipi kuhandle michango kwa chama au mwanachama?

Je, Muhasibu ana role gani katika kumshauri mwenyekiti wake juu ya kuhandle fedha na michango ya chama au mwanachama?

Maswali mengine yatafuata
Wajinga ndio waliwao.Chadema wanakusanya badala ya kufungua hata akaunti maalumu,wanaingiza kwenye akaunti ya chama
 
CCM mmepanic saana mnapoona Lissu bado yuko hai na kinacbowauma zaidi mnavyoona watanzania wanachanga pesa kuokoa uhai wa Lissu.

In short CCM bado mko kwenye mission yenu ya kumuua Lissu.
Liko wazi hilo na wameumbuka peupe...nimefurahi sana Mh. Mbowe alivyotamka bila kumumunya maneno...ndugai akiambiwa kawekwa kwapani analia lia...ile kauli yake ya chekechea kwamba Zitto si saizi yake nadhani hakuwaza vyema...kama Zito ni wa ligi kuu yeye hata ligi ya mkoa hajaqualify na ushahidi ni jinsi sakata hili lilivyomuacha utupu...
 
Hatakama tumechanga ss wananchi kwan zakwetu ndo zakuliwa pesa haina rafiki huyo mboe kila kitu niyy inakua kama chama hakijakamilika sitoi tena hela yang wap umeona hela inachangwa halafu inatolewa aelezo yakipumbavu namna ile apeleke marienge yke kule amenikera sna.kila siku linakua natabia yawiz wiz2 sijui hata likoje
 
CHADEMA ina waziri kivuli wa fedha inasemekana lakini sina uhakika..ni Mbadala wa Prof.Mpango endapo CHADEMA ikiingia madarakani lakini hana,wala hajui udhibiti wa fedha katika chama chao unaendaje wala hata matumizi yake sidhani kama anathubutu kuuliza.

ninachoamini chama kikubwa kama CHADEMA lazima kiwe na mhasibu/kama sio mtunza fedha anayesimamia matumizi na account zote za CHAMA.
ikitokea emergency kama hii yeye ndo awe anatoa ushauri wa kipi kifanyike,account ipi itumike. Hakuna wa kumlaumu ni mistake ndogo kwa chama ambazo bado hazina effect yoyote kwa wananchi wanaowaamini.
 
CCM mmepanic saana mnapoona Lissu bado yuko hai na kinacbowauma zaidi mnavyoona watanzania wanachanga pesa kuokoa uhai wa Lissu.

In short CCM bado mko kwenye mission yenu ya kumuua Lissu.
Wewe ni miongoni mwao! How can you feel something that is not in your mind?
 
Inzi ni inzi nadhani nmeelewa

Watz wamechanga 76m kwaajili ya Lissu na ni kwa siku 14 je akifikisha mwezi bado zile dollar 20,000

Kama anakula mbowe sawa kwan ccm yako imekula shingapi mpaka sasa na jee ww as mwandishi umekula shngapi
Usikae kuandika af hata mia hujapewa unakua huo ni umaandazi

Jaribu kula matunda mazuri ukusaidie kukufikirsha vzri
 
Hatakama tumechanga ss wananchi kwan zakwetu ndo zakuliwa pesa haina rafiki huyo mboe kila kitu niyy inakua kama chama hakijakamilika sitoi tena hela yang wap umeona hela inachangwa halafu inatolewa aelezo yakipumbavu namna ile apeleke marienge yke kule amenikera sna.kila siku linakua natabia yawiz wiz2 sijui hata likoje
Ukiweka ushahidi wamchango wako ulochamchangia Lisu . nakupa ml 10.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CCM mnahaha kama kuku aliyekatwa kichwa kwasababu tu mnaona Lissu anapata matibabu na nyie mnataka afe ili mfanye sherehe.
Wamekufa wangapi Nchi hii wenye Umuhimu zaidi ya huyu mpuuzi wenu!
Ficha upumbavu wako
 
Back
Top Bottom