Sikujua kama we jamaa ni mweupe namna hii !
Wewe ni Mwe KUNDU?
Sikujua kama we jamaa ni mweupe namna hii !
Kuna kiongozi wa ccm aliwahi kunidokeza jambo hilo , hivi ni kweli eeeee ?awamu hii tusingekuwa na waziri mkuu na huyu mama tanzania ingepotea kwenye ramani ya dunia ,,,,,,,,,,,,,,
huyu jamaa anaweza kutuchamba tu kuna mto ngono sijui blablabla unadhani anaweza kuongea nini international?
[emoji56]awamu hii tusingekuwa na waziri mkuu na huyu mama tanzania ingepotea kwenye ramani ya dunia ,,,,,,,,,,,,,,
huyu jamaa anaweza kutuchamba tu kuna mto ngono sijui blablabla unadhani anaweza kuongea nini international?
Hoja yako inafikirisha!mnakosea kaz ya uraisi ndo ifutwe
We jamaa Ulikua unafikiria Haya ukiwa chooni au,,, coz Hakuna Cha maana Hapo ulichozungumza,,, kafikirie Tena ndio urudi, inaonyesha kidogo unaweza chambua kitu ila Hapo ulipoteaSalaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.
a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu
Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.
Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.
Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?
Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.
Sas wew jamaa ndio umeleta jibu kwa nin Kuna uzi usiokuwa na akili kama huu uliopostiwa,,, visa vitawaponza chadema embu jitaidini kuwaza vitu vyenye msingiiiChadema visa sana!
Yaani Ofisi ya Makamu wa Rais ifutwe kwa kuwa Lema hajapewa Fursa ya kupiga Soga Msibani!
Ule Msiba wa Kitaifa uliitishwa na Serikali ya CCM na wao si waitishe Matanga ya Kitaifa waongee mpaka wachoke na wamnyime nafasi ya kuongea Mkuu wa Mkoa?
Ifutwe kwa sab amepuuzwa na mh gambo au kwa sab haina tija? Hebu weka sababu ya kueleweka.Salaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.
a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu
Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.
Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.
Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?
Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.
Umewekewa hadi majukumu halisi ya makamu wa Rais lakini bado huamini nini ?Ifutwe kwa sab amepuuzwa na mh gambo au kwa sab haina tija? Hebu weka sababu ya kueleweka.
Hoja nzito kama hii hujibiwa kwa hoja , si kwa mapovu , umewekewa hadi vifungu vya katiba lakini huelewi tu , tukusaidieje sasa ?We jamaa Ulikua unafikiria Haya ukiwa chooni au,,, coz Hakuna Cha maana Hapo ulichozungumza,,, kafikirie Tena ndio urudi, inaonyesha kidogo unaweza chambua kitu ila Hapo ulipotea
Lkn amemtaja gambo kwani naye yumo kwenye majukumu ya VP?Umewekewa hadi majukumu halisi ya makamu wa Rais lakini bado huamini nini ?
...ndo manake, hawa wa sahivi kazi zao ndo kama hizi.., na wao wameridhika nazo kweli kweli hawa wazenji wa watu..Dr.Omary.A.Juma was a functioning vice president hawa tu tunaopewa sasa ndo wanatatzo even shein he was to some extent
Nimecheka sana !...ndo manake, hawa wa sahivi kazi zao ndo kama hizi.., na wao wameridhika nazo kweli kweli wazenji wa watu..
View attachment 508241View attachment 508242View attachment 508243View attachment 508246View attachment 508247
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...ndo manake, hawa wa sahivi kazi zao ndo kama hizi.., na wao wameridhika nazo kweli kweli hawa wazenji wa watu..
View attachment 508241View attachment 508242View attachment 508243View attachment 508246View attachment 508247
Hapa ndipo tumefikia hatuna budi kudai katiba itakayo endana na wakati tulionao. Honestly cheo cha VP kwa katiba hii less functioning. Kwa Sababu katika presidential government na non-presidential government hii aina ya serekari yetu haipo upande wowote.Hakuna sehemu yeyote duniani kukawa na cheo cha Rais pasiwe na cheo cha makamu wa Rais maana structure ya viongozi wakuu ni 3 na ndio mifumo ya utawala Dunian
1 Rais lazima kuwepo na makamu wake kama msaidizi wa Rais kwani kunawezekana Rais kufariki au kuwa nje ya majukumu (mgonjwa)au nje ya Nchi
2 Mfalme kukiwa na mfalme cheo kinachofata ni waziri mkuu hapawezi kuwa na mfalme then kukawa na cheo cha Rais
3 Chancellor huyu ni mtendaji mkuu wa majukumu ya serikali lakini kukiwa na Chancellor kunaweza kuwa na Rais au Mfalme lakini wanakuwa hawana maamuzi ya moja kwa moja kwa Serikali
Kwa Tanganyika vyeo vya kutoa ni wakuu wa mikoa na wakuu wa Wilaya kwani Mkurugenzi au mameya wanaweza fanya majukumu yao
Mkuu, ongeza upeo kabla ya hitimisho!Hapa ndipo tumefikia hatuna budi kudai katiba itakayo endana na wakati tulionao. Honestly cheo cha VP kwa katiba hii less functioning. Kwa Sababu katika presidential government na non-presidential government hii aina ya serekari yetu haipo upande wowote.