capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
- Thread starter
- #21
Maana ya neno sabato ni PUMZIKONini maana ya Sabato??
Naomba mnijulishe tafadhali
Maana ya neno sabato ni PUMZIKONini maana ya Sabato??
Naomba mnijulishe tafadhali
Dah, Pole. Imeandikwa usifungiwe nira na wasio amini!! Sasa kuwa mke mwema, ili kwa wema wako, mumeo amjue Kristo aliye Bwana wa Sabato!!
Sio bahati mbaya ... Wherever you are, you there for a reason.nimeolewa upande fulan sielew kitu !biblia tofauti !kwahyo nipo tu
Sio bahati mbaya .. you are where you are for a raeson my dear.
We do have Morning star Radio .. tune in 105.3 Fm.may be
Njoo tuimbenimezaliwa usabatoni ! ninaimba daily nyimbo za sda .... bas tu kwakwel
Njoo tuimbe
Ubarikiwe
We do have Morning star Radio .. tune in 105.3 Fm.
Yea? dats good.alwys listening morning star
Hahahah! Umekumbusha dadangu ameolewa upande mwngne uwa akienda kanisan anacheka tu! Ukipata mtu wa imani yako ni vyema saana ila maisha mkuu!nimeolewa upande fulan sielew kitu !biblia tofauti !kwahyo nipo tu
Thank youHappy Sabbath too! Mkuu
Ibada muhim sana. Hongera sana mkuuHappy day
Kesho kwa mara ya Kwanza nataka kwrnda kanisani huku ughaibuni, nilitafuta kanisa muda mrfu