Arusha - Moshi hapana aisee, barabara nyembamba sana ile jioni msongamano wa magari, magari yanatembea kama yanaenda harusini[emoji846][emoji846][emoji846]
Lazima vikao vya usuluhishi vifanyike kanisani au baraza la kata, kanisani wakishindwa kuwasuluhisha ndio watawapa go ahead ya kwenda mahakamani labda kama kuna short cut zingine ambazo anaweza kufanya lakini kisheria ni kama nilivyosema hapo juu
Mimi siwezi kwakweli, nitakuvumilia kwa muda ila ubahili na uchoyo ukizidi nakupiga chini faster, mwanume anatoka asubuhi anarudi usiku hajaacha hata mia, huko njiani hata machungwa ya buku hayahoni, akifika anataka msosi...hiiiiiii bebeshi[emoji28][emoji28] in magu's voice
Ulikosea tangu enzi...
Pole though unapaswa kumsaidia. Moja ninachofikiria yawezekana ana nyama za puani, huwa zinasababisha mtu kukoroma,
Pili kutokana na hizo nyama labda alishafanyiwa operation kuziondoa lkn kukoroma huwa hakuishi kabisa
Tatu sina uhakika sana yawezekana ana pumu kuna wachache huwa inawasababisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.