Recent content by masalamashaka

  1. M

    Kamanda Halima Mdee kutikisa Bukoba Mjini leo

    Hongera sana Kamanda Lwakatare kwa harakati. Namkubali sana huyu jembe. Ana nyota ya kipekee sana. Magamba wanamsaka sana,kumtuhumu na ugaidi kwa sababu wanatambua uwezo wake mkubwa wa kiinteligensia. Mungu amtangulie sana huyu Kamanda. Mengi yatasemwa lakini lengo ni kumkomboa mwananchibwa...
  2. M

    Lucy Nkya (Naibu Waziri wa zamani) arushiana risasi na mwanae

    Kwani huyo Jonas ni Mungu?Ni Malaika? Ni Mtume? Ni nani haswa kwamba yeye hakosei?
  3. M

    Lucy Nkya (Naibu Waziri wa zamani) arushiana risasi na mwanae

    This only happens in Tanzania. Jana wakati naangalia taarifa ya habari ITV, Jonas na Dr.Lucy walijieleza. Nilichoanalyse,Jonas ni kijana mwenye dharau na kwa elimu yangu niliyonayo juu ya matumizi ya silaha,KAMWE SILAHA HAIWEZI KUJIFYATUA.NEVER!! sasa,kwa distraction aliyopelekea kwa wakazi...
  4. M

    Sitti Abbas Ajiuzulu U miss mwenyewe

    Huyu dada kajidhalilisha sanaa. I hop wengine hawatarudia tena. CCM haina mwema hata mmoja,kila mahala wanafanya wizi,uwongo,ujinga. Ni sauti za watz zimemfanya ajiuzulu,vivyo hivyo tuanze kupigia kelele maswala ya msingi zaidi.
  5. M

    Vijana wawili wafariki dunia kambi ya 824 Kanembwa JKT

    Kiukweli Hii programu inalipotezea taifa pesa nyingu bila msingi wowote. Huwa nashangaa sana, ni akina nani wenye akili tope hukaa na kubuni hizi sera hovyo. Malengo yake siyaoni hata kidogo yakitimia. Vijana wa Operation Miaka 50 wamerudi..hakuna cha uzalendo,wala ukakamavu,wala nidhamu,wala...
  6. M

    Hasheem Thabeet Aondolewa Pistons

    Me nina Bro wangu alikuwa karibu sana na Hasheem huko Houston..Kijana amekuwa mvivu,kalewa sifa,kalewa 200/=..hana discipline na uuza sura mwingi.hizo ni baadhi ya sababu za kutemwa na Pistons.
  7. M

    Je, Elizabeth Michael (Lulu) afungwe kama Pistorious?

    Mimi nadhani Watanzania hatuko serious na maisha ya watu..marehemu hajatendewa haki hata kidogo. Inabidi Lulu apate adhabu na iwe fundisho kwa wengie.
  8. M

    Je, Elizabeth Michael (Lulu) afungwe kama Pistorious?

    Jana,katika kesi iliyokuwa na mvuto mkubwa duniani..Mwanariadha Pistorious anayedaiwa kumuua mpenzi wake bila kukusudia huko South Africa siku ya wapendanao mwaka jana..amehukumiwa miaka 5 jela. Ukirudi hapa kwetu,yupo msanii Elizabeth Michael(Lulu) ambaye ana mashtaka yanayataka kufanana na...
  9. M

    GE2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

    NAOMBA HUYU MTU AWE ANAPUUZWA. nimekuwa nikifuatikia comments zako,una ushabiki wa kipumbavu. Fanya tu shughuli zingine hapa uwaachie wanaoweza kutumia akili kufikiri.
  10. M

    Kati ya hawa nani atafaa kugombea urais kwa "tiketi" ya UKAWA?

    Wote wana uwezo na tunawahitaji..lakini taifa linamhitaji sana Dr.Slaa kwa sasa.
  11. M

    Dr Slaa kupokelewa Kama Mfalme Marekani inamaana anatambuliwa uwezo wake?

    Please Dr.Slaa dont give up..this nation needs you like no other. I promise kuchangia campaign za Dr.Slaa mwakani kwa gharama yoyote na tutalinda kila kura. speech yake imenisisimua mwili hadi roho. God bless this Man who goes beyond INCREDIBLE.
  12. M

    Gerald Hando wa Clouds FM jaribu kuheshimu waliokutangulia kiumri

    Kwa kweli channel ya CLOUDS ina waandishi wasiyo na maadili. Sijui inaajiri wavuta bangi tu au vipi,sielewi kwa kweli. Hii siyo mara ya kwanza kwa huyo kijana kukashifu watu. Nadhani hiyo channel haina usimamizi bora kuwakanya.. Alafu eti "VIJANA TUPEWE FURSA".kwa vigezo kama hivyoo? Huyo...
  13. M

    Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi?

    ..kupata mwanamke atakayenipa watoto wazuri kama malaika na kuwa mama bora.
  14. M

    Maandamano ya amani kwa waliokosa mkopo HESLB tarehe 15 October

    Au Pesa inaandaliwa kwa ajili ya campaign za mwakani?? Wamefilisi Mifuko ya Pensheni, wamefilisi Mishahara ya wazee wetu,wamefilisi kodi zetu,wamefilisi kodi za wawekezaji, wamefilisi mabilioni ya kilimo kwanza, wamefilisi MAPESA YA NCHI..wanataka kutufilisi na sisi?? HAIWEZEKANI. LAZIMA...
Back
Top Bottom