Wanazuia kwa ajili ya usalama wa viongozi wa CDM akiwamo halima mdee kwamba wakifanya mkutano watadhurika. !.
Ajabu wanapoona mkutano unaaendelea bila madhara wao polisi ndio wanaanza kurusha mabomu ya machozi na risasi za moto kusababisha vurugu na uvunjifu wa amani. Policcm hao, walinzi wa amani.!
Mungu Yuko Hai Milele!.
Ajabu wanapoona mkutano unaaendelea bila madhara wao polisi ndio wanaanza kurusha mabomu ya machozi na risasi za moto kusababisha vurugu na uvunjifu wa amani. Policcm hao, walinzi wa amani.!
Mungu Yuko Hai Milele!.
Sasa nimejua kwanini polisi wanazuia mikutano ya Mh Halima Mdee .