Wazazi mmepokea hii sera finyu ya Elimu bure kwa asilimia 100 kitu ambacho hakipo. Mitihani Mingi sana kwa madarasa ya watahiniwa imeondolewa kutokana na ufinyu wa bajeti (mock na pre Necta,madawati bado ni janga kuu hii inapelekea ujifunzaji kuwa dun,mlundikano wa wanafunz(darasa moja wanafunzi...
Ni kweli kunawatu walikua wakipandishwa madaraja kwa ujanjaujanja, na mtu mwngne unakuta n diploma holder cha kushangaza mshahara wake anaanza na ule wa degree holder.acha tuendelee kuisoma namba tukisubir HAKI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.