Mshahara umetoka lakini hauna nyongeza

Mshahara umetoka lakini hauna nyongeza

Naombeni msaada wakuu,nimehamisha pesa kutoka Nmb mobile,kuileta M _pesa..lakin haijaja ila salio kwa account limekatwa.nafanyeje?

mtandao wa voda nyakati hizi mishahara inapotoka huwa una tatizo kama hilo la kuchelewa kwa hela ukitoa bank kuwa na subira mkuu mtandao ukiwa poa itakuja ila ikifika asubuhi haijaja fanya kuwahi bank fasta kusolve hiyo ishu
 
Jaribu kuzigeuza-geuza hizo namba waweza ona nyongeza.
 
Naombeni msaada wakuu,nimehamisha pesa kutoka Nmb mobile,kuileta M _pesa..lakin haijaja ila salio kwa account limekatwa.nafanyeje?
nenda pale huduma kwa wateja watakupa fomu utajaza na baada ya muda fedha yako itarudi kweny akaunti yako
 
Naombeni msaada wakuu,nimehamisha pesa kutoka Nmb mobile,kuileta M _pesa..lakin haijaja ila salio kwa account limekatwa.nafanyeje?
utaipata bana...ikichelewa nenda kituo cha huduma kwa wateja popote utapewa maelekezo
 
Acha waisome namba eeeeee nanihiii mbele kwa mbele............. Tumewapiga kwenye ajira..... mbele kwa mbele...... sasa tuwapige kwenye magwala..... nanihii mbele kwa mbele...................... acha waisome namba eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
umeshaumia, rafiki yngu alifanya hivyo mwezi uliopita, ilimchukuwa siku 5 kupata hela yke tena ikiwa imejeruhiwa sana. watakwambia uandike barua ya kuomba, nenda kesho benk uwaone walivyo wasumbufu. naamini hutarudia tena
Daa,unanitisha mkuu
 
mtandao wa voda nyakati hizi mishahara inapotoka huwa una tatizo kama hilo la kuchelewa kwa hela ukitoa bank kuwa na subira mkuu mtandao ukiwa poa itakuja ila ikifika asubuhi haijaja fanya kuwahi bank fasta kusolve hiyo ishu
Ahsante mkuu,
 
Naombeni msaada wakuu,nimehamisha pesa kutoka Nmb mobile,kuileta M _pesa..lakin haijaja ila salio kwa account limekatwa.nafanyeje?
Iko hewani subir wiki mbili itachagua kwa kwenda mpesa au benk stay awake ila punguza uvivu wa kutembea
 
Back
Top Bottom