Explain about your self
Differences between data and information
Swali la tatu sikumbuki vizuri lakini lilikuwa lina na maana ya kuwa kama computer haitafanyiwa maintanance kwa wakati kutakuwa na matokeo gani
ndio katika options ambazo ukishairun hiyo rufus kwenye format options utaweka hiyo ntfs kwasababu kawaida flash inakuwa katika FAT32(default) utaicommand button ya start utasubilia kwa muda kidogo mpaka finish lakini make sure boot option hapo mwanzoni umeselect Disk or iso image na utaenda...
mbona wadau hapo juu wameeleza vizuri,rufus kazi yake ni kutengeneza hiyo image ya window ambayo umewekewa hapo na chief mkwawa udownload,hakuna haja ya powerIso sababu tayari hilo file la windowl limeshatengenezwa katika mfumo wa image hapo ww kazi yako ni kudownload hiyo image na hiyo software...
ok hapo sawa nitachki hiyo Redmi Note 7 nasikia iko vizuri lakini tatizo upatikanaji kwa hapa bongo changamoto, nikiagizia online inifikie kwa muda chini ya wiki mbili inaweza nigharimu bei gani ya 4gb ram na 64gb internal kusubilia mwezi mzima shida.
Hata yule aliekuwa meya wa ilala alishatoa kauli kama hii kwa mh kipindi waziri wa ujenzi walitofautiana kwenye inshu ya mabango ya barabarani yaliyokuwa kwenye wilaya yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.