Samsung Grand Prime Plus+ Inafaa

Samsung Grand Prime Plus+ Inafaa

kwani wakuu mnapoongelea perfomance ya simu huwa mnamaanishaga nn? maana mm kama simu inafanya mambo yote ya kawaida vizuri tu sasa utake nn tena hapo??
 
kwani wakuu mnapoongelea perfomance ya simu huwa mnamaanishaga nn? maana mm kama simu inafanya mambo yote ya kawaida vizuri tu sasa utake nn tena hapo??
1. matumizi yako hayafanani na wenzako
2. pengine hujawahi tumia simu yenye speed hivyo hujajua bado unamiss nini, siku ukipata simu flagship kama s8, lg g6, iphone 7 etc jaribu kuitumia hata sekunde 30 uone utofauti.
 
1. matumizi yako hayafanani na wenzako
2. pengine hujawahi tumia simu yenye speed hivyo hujajua bado unamiss nini, siku ukipata simu flagship kama s8, lg g6, iphone 7 etc jaribu kuitumia hata sekunde 30 uone utofauti.
Ni sawa lakini kwa matumizi yapi haswa?? speed ya internet? kuandika message au kupiga na kupokea simu? hembu niambie kwa basic uses kama hizo ni nini hasa tofauti ya speed. ukizingatia hapa kwetu mtandao ni sawa sawa
 
Ni sawa lakini kwa matumizi yapi haswa?? speed ya internet? kuandika message au kupiga na kupokea simu? hembu niambie kwa basic uses kama hizo ni nini hasa tofauti ya speed. ukizingatia hapa kwetu mtandao ni sawa sawa
mkuu mambo ni mengi sana nitajaribu kulist vichache.

1. hayo mambo madogo madogo ukiyafanya mengi kwa pamoja kitaalamu wanaita multitasking yanahitaji simu iwe na nguvu. mfano mtu ana insta, facebook, snapchat, twitter, wechat, telegram na app nyengine za kijamii kibao na zote anazifungua kwa wakati mmoja, simu ndogo itachemka ila simu kubwa yenye ram kubwa na cpu ya maana itaweza kuzifungua vizuri tu.

2. speed ya internet haihusiani na perfomace, ila simu kubwa huwa na modem nzuri zaidi kuanzia mobile data vitu kama 3G na 4G hadi kwenye wifi.
-simu isio na 4G haiwezi kuwa na speed nzuri
-simu yenye 4G ya kizamani haiwezi kupata Speed ya 4G ya kisasa kama vile LTE Advance ya TTCL.

3. zipo apps kubwa na nzito ambazo huwezi kuzirun kwenye simu yako ndogo, mfano dolphin emulator, video editors kama cyberlink, video converters mbalimbali, games kubwa kubwa etc. unaweza jaribu ku convert hata video ya dakika 10 kwenye simu yako ndogo uone itachukua muda gani.

4. simu kubwa huwa za kwanza kupata technology za kisasa, dunia hii kila siku kuna technology kubwa, mfano hii technology ya sasa ya virtual reality huwezi ipata kwenye kisimu cha laki mbili tatu, utaikuta kwenye simu kubwa zenye perfomance kubwa, zipo technology nyingi nyingi nyengine kama vile x265 (HEVC), vp9 na codecs nyengine za video, sote tunaenda youtube na kuangalia video moja na quality moja ila wewe unatumia mb 600 mimi natumia mb 400 sababu kifaa changu kinakubali codec mpya za video na chako hakikubali.

5.pia simu kubwa hufanya mambo kwa upesi zaidi, storage perfomance yake ni kubwa, unakuta wote tunafungua app moja yako inatumia sekunde 1 yangu robo sekunde, unaweza ukaona utofauti mdogo ila in long run mimi nitakamilisha mambo mengi na naweza kusave mda mwingi zaidi.

6. hata kwenye kupiga na kupokea simu mwenye simu nzuri ni likely akawa anaskia anaempigia na kupigiwa vizuri japo sio mara zote, zipo pia simu ndogo zinaskia vizuri.
 
mkuu mambo ni mengi sana nitajaribu kulist vichache.

1. hayo mambo madogo madogo ukiyafanya mengi kwa pamoja kitaalamu wanaita multitasking yanahitaji simu iwe na nguvu. mfano mtu ana insta, facebook, snapchat, twitter, wechat, telegram na app nyengine za kijamii kibao na zote anazifungua kwa wakati mmoja, simu ndogo itachemka ila simu kubwa yenye ram kubwa na cpu ya maana itaweza kuzifungua vizuri tu.

2. speed ya internet haihusiani na perfomace, ila simu kubwa huwa na modem nzuri zaidi kuanzia mobile data vitu kama 3G na 4G hadi kwenye wifi.
-simu isio na 4G haiwezi kuwa na speed nzuri
-simu yenye 4G ya kizamani haiwezi kupata Speed ya 4G ya kisasa kama vile LTE Advance ya TTCL.

3. zipo apps kubwa na nzito ambazo huwezi kuzirun kwenye simu yako ndogo, mfano dolphin emulator, video editors kama cyberlink, video converters mbalimbali, games kubwa kubwa etc. unaweza jaribu ku convert hata video ya dakika 10 kwenye simu yako ndogo uone itachukua muda gani.

4. simu kubwa huwa za kwanza kupata technology za kisasa, dunia hii kila siku kuna technology kubwa, mfano hii technology ya sasa ya virtual reality huwezi ipata kwenye kisimu cha laki mbili tatu, utaikuta kwenye simu kubwa zenye perfomance kubwa, zipo technology nyingi nyingi nyengine kama vile x265 (HEVC), vp9 na codecs nyengine za video, sote tunaenda youtube na kuangalia video moja na quality moja ila wewe unatumia mb 600 mimi natumia mb 400 sababu kifaa changu kinakubali codec mpya za video na chako hakikubali.

5.pia simu kubwa hufanya mambo kwa upesi zaidi, storage perfomance yake ni kubwa, unakuta wote tunafungua app moja yako inatumia sekunde 1 yangu robo sekunde, unaweza ukaona utofauti mdogo ila in long run mimi nitakamilisha mambo mengi na naweza kusave mda mwingi zaidi.

6. hata kwenye kupiga na kupokea simu mwenye simu nzuri ni likely akawa anaskia anaempigia na kupigiwa vizuri japo sio mara zote, zipo pia simu ndogo zinaskia vizuri.
okey mkuu nashukuru sana. hapo nimekusoma vizuri sana na asante kwa Elimu nzuri.

ila swali langu la mwisho basi ni kwamba nilikuwa naomba ushauri je ninunue simu gani?? ambayo haitakuwa gharama sana na itakuwa ya kisasa kama unazoongelea. pia naomba unishauri ntapatia wapi? ebay au ali express.

Thanks in advance.
 
okey mkuu nashukuru sana. hapo nimekusoma vizuri sana na asante kwa Elimu nzuri.

ila swali langu la mwisho basi ni kwamba nilikuwa naomba ushauri je ninunue simu gani?? ambayo haitakuwa gharama sana na itakuwa ya kisasa kama unazoongelea. pia naomba unishauri ntapatia wapi? ebay au ali express.

Thanks in advance.
mkuu kwenye manunuzi ya simu kuna mambo mengi sana, inategemea sasa hivi unatumia simu gani na unataka ukinunua mpya ikufanyie nini, budget yako, matumizi yako etc. hivyo kama una priorities kama ukaaji chaji, camera na vyengine ni vyema ukavisema.

kwa haraka simu unaweza ukazigawanya makundi manne.

-simu ndogo
-simu za kati matumizi ya kawaida na ukaaji mkubwa wa chaji
-simu za kati matumizi makubwa na ukaaji mdogo wa chaji
-simu kubwa.

watu wengi hununua hizo simu za kati, ili upate nzuri ambayo inakaa sana na charge inabidi ununue ya kati ya matumizi ya kawaida ambayo inatumia.manufacturing technology ya 14nm kama vile yenye snapdragon 625, 626, 630 etc au exynos 7880 ya samsung.

mfano wa simu hizo ni kama
-samsung galaxy A3, A5, A7 za mwaka 2017
-motorola moto g5
-xiaomi redmi note 4 version ya sd625
-lenovo vibe p2
-huawei honor 6x
-samsung j series za 2017 kama j5 na j7 (tetesi) etc

pia zipo simu za kati zenye uwezo mkubwa sema hazikai na chaji kama hizo hapo juu kama vile
-xiaomi redmi note 3
-galaxy A9
-flagship za mwaka jana version za africa, marekani ya kusini kama vile lg g5 na htc 10 etc

hivyo inategemea na budget yako na unachotaka kwenye simu.
 
mkuu kwenye manunuzi ya simu kuna mambo mengi sana, inategemea sasa hivi unatumia simu gani na unataka ukinunua mpya ikufanyie nini, budget yako, matumizi yako etc. hivyo kama una priorities kama ukaaji chaji, camera na vyengine ni vyema ukavisema.

kwa haraka simu unaweza ukazigawanya makundi manne.

-simu ndogo
-simu za kati matumizi ya kawaida na ukaaji mkubwa wa chaji
-simu za kati matumizi makubwa na ukaaji mdogo wa chaji
-simu kubwa.

watu wengi hununua hizo simu za kati, ili upate nzuri ambayo inakaa sana na charge inabidi ununue ya kati ya matumizi ya kawaida ambayo inatumia.manufacturing technology ya 14nm kama vile yenye snapdragon 625, 626, 630 etc au exynos 7880 ya samsung.

mfano wa simu hizo ni kama
-samsung galaxy A3, A5, A7 za mwaka 2017
-motorola moto g5
-xiaomi redmi note 4 version ya sd625
-lenovo vibe p2
-huawei honor 6x
-samsung j series za 2017 kama j5 na j7 (tetesi) etc

pia zipo simu za kati zenye uwezo mkubwa sema hazikai na chaji kama hizo hapo juu kama vile
-xiaomi redmi note 3
-galaxy A9
-flagship za mwaka jana version za africa, marekani ya kusini kama vile lg g5 na htc 10 etc

hivyo inategemea na budget yako na unachotaka kwenye simu.
kwa sasa hvi natumia j2 prime. sasa nataka simu ingine itakayokaa na chaji kwa muda mrefu sana. na perfomance iongezeke kidogo na kamera nzuri na fingerprint. hivyo tu ndio nataka. na budget yangu naona kama haitazidi 400k sasa nilikuwa nawaza kama kwa budget hiyo naweza pata kupitia ebay. ila sijajua simu gani sasa
 
mkuu mambo ni mengi sana nitajaribu kulist vichache.

1. hayo mambo madogo madogo ukiyafanya mengi kwa pamoja kitaalamu wanaita multitasking yanahitaji simu iwe na nguvu. mfano mtu ana insta, facebook, snapchat, twitter, wechat, telegram na app nyengine za kijamii kibao na zote anazifungua kwa wakati mmoja, simu ndogo itachemka ila simu kubwa yenye ram kubwa na cpu ya maana itaweza kuzifungua vizuri tu.

2. speed ya internet haihusiani na perfomace, ila simu kubwa huwa na modem nzuri zaidi kuanzia mobile data vitu kama 3G na 4G hadi kwenye wifi.
-simu isio na 4G haiwezi kuwa na speed nzuri
-simu yenye 4G ya kizamani haiwezi kupata Speed ya 4G ya kisasa kama vile LTE Advance ya TTCL.

3. zipo apps kubwa na nzito ambazo huwezi kuzirun kwenye simu yako ndogo, mfano dolphin emulator, video editors kama cyberlink, video converters mbalimbali, games kubwa kubwa etc. unaweza jaribu ku convert hata video ya dakika 10 kwenye simu yako ndogo uone itachukua muda gani.

4. simu kubwa huwa za kwanza kupata technology za kisasa, dunia hii kila siku kuna technology kubwa, mfano hii technology ya sasa ya virtual reality huwezi ipata kwenye kisimu cha laki mbili tatu, utaikuta kwenye simu kubwa zenye perfomance kubwa, zipo technology nyingi nyingi nyengine kama vile x265 (HEVC), vp9 na codecs nyengine za video, sote tunaenda youtube na kuangalia video moja na quality moja ila wewe unatumia mb 600 mimi natumia mb 400 sababu kifaa changu kinakubali codec mpya za video na chako hakikubali.

5.pia simu kubwa hufanya mambo kwa upesi zaidi, storage perfomance yake ni kubwa, unakuta wote tunafungua app moja yako inatumia sekunde 1 yangu robo sekunde, unaweza ukaona utofauti mdogo ila in long run mimi nitakamilisha mambo mengi na naweza kusave mda mwingi zaidi.

6. hata kwenye kupiga na kupokea simu mwenye simu nzuri ni likely akawa anaskia anaempigia na kupigiwa vizuri japo sio mara zote, zipo pia simu ndogo zinaskia vizuri.
Kwa simu ya one plus inaweza ikanifaa kwa sifa hizi nimetokea kuikubali hii simu
 
mkuu kwenye manunuzi ya simu kuna mambo mengi sana, inategemea sasa hivi unatumia simu gani na unataka ukinunua mpya ikufanyie nini, budget yako, matumizi yako etc. hivyo kama una priorities kama ukaaji chaji, camera na vyengine ni vyema ukavisema.

kwa haraka simu unaweza ukazigawanya makundi manne.

-simu ndogo
-simu za kati matumizi ya kawaida na ukaaji mkubwa wa chaji
-simu za kati matumizi makubwa na ukaaji mdogo wa chaji
-simu kubwa.

watu wengi hununua hizo simu za kati, ili upate nzuri ambayo inakaa sana na charge inabidi ununue ya kati ya matumizi ya kawaida ambayo inatumia.manufacturing technology ya 14nm kama vile yenye snapdragon 625, 626, 630 etc au exynos 7880 ya samsung.

mfano wa simu hizo ni kama
-samsung galaxy A3, A5, A7 za mwaka 2017
-motorola moto g5
-xiaomi redmi note 4 version ya sd625
-lenovo vibe p2
-huawei honor 6x
-samsung j series za 2017 kama j5 na j7 (tetesi) etc

pia zipo simu za kati zenye uwezo mkubwa sema hazikai na chaji kama hizo hapo juu kama vile
-xiaomi redmi note 3
-galaxy A9
-flagship za mwaka jana version za africa, marekani ya kusini kama vile lg g5 na htc 10 etc

hivyo inategemea na budget yako na unachotaka kwenye simu.
Mkuu kukaa na chaji kidogo inaweza ikawa muda gani
 
Haf nikiwa kama na 350k naweza nikapata simu gani katika hizo zakati ambayo itakuwa bora
 
kwa sasa hvi natumia j2 prime. sasa nataka simu ingine itakayokaa na chaji kwa muda mrefu sana. na perfomance iongezeke kidogo na kamera nzuri na fingerprint. hivyo tu ndio nataka. na budget yangu naona kama haitazidi 400k sasa nilikuwa nawaza kama kwa budget hiyo naweza pata kupitia ebay. ila sijajua simu gani sasa
galaxy j7 ya 2016 itakuwa ni improvement toka hapo, ila ukisubiria j5 ya 2017 pia sio mbaya.
 
Back
Top Bottom