Ok nilikuwa namaanisha one plus 5oneplus zipo nyingi kuanzia oneplus one mpaka sasa hvi oneplus five
Ok nilikuwa namaanisha one plus 5oneplus zipo nyingi kuanzia oneplus one mpaka sasa hvi oneplus five
ni.nzuri mkuuOk nilikuwa namaanisha one plus 5
Sawa mkuu nitajitaidi niitafute ingawa nadhani madukani hapa dar kuipata kwa saizi itakuwa ngumuni.nzuri mkuu
Hivi hii kitu tayari mkuu?kuna leaked documents nimeona itapata updates mwezi wa 11 mwaka huu hio nougat
nikumbushe mkuu,Hivi hii kitu tayari mkuu?
Updates ya nougat kwa j7 primenikumbushe mkuu,
imeshatoka mkuu tayari, ukicheck update haiji?Updates ya nougat kwa j7 prime
imeshatoka mkuu tayari, ukicheck update haiji?
jaribu kucheki na kies na pc![]()
Mkuu hainiletei bado sijui kwanini
Ndo vipi mkuu duhjaribu kucheki na kies na pc
Kwanini?Unazingua
Elvis..mbona pm hupatikani?Hiyo Samsung grand prime plus ya mwaka huu inafaa na ni ya wastani inaweza kuhandle kila kitu vizuri
jaribu kucheki na kies na pc
tafuta tu kifaa kisicho na windows, inaweza kua computer yenye linux distro yoyote, au simu yenye android (otg), simu ya symbian etc.Mkuu Habari! Naomba msaada kwa hili nina internal Hdd yangu nimenunulia case yake ili iwe kama external ila inawaka tu kalae kataa kwenye external na ina detect alafu inakata mawasiliano kuna mkuu akanifahamisha hiyo Hdd yako ina Window hivo Pc haiwezi soma window mbili inabidi iwe formated then itapiga kazi kama external je hii kitu ni sababu yenye mashiko? Na je njia zipi nifanye ili ni format ili hii window itoke maana nimepitia google na youtube kwakweli maelezo nimeona hayaridhishi.ahsanteh
Mpaka niwe na niiveshe case au pasipo ndo naweza yafanya mkuu ikisoma ntafata option zipi? Na je kwa simu ya tecno w5 itakubali?tafuta tu kifaa kisicho na windows, inaweza kua computer yenye linux distro yoyote, au simu yenye android (otg), simu ya symbian etc.
unaivisha case inakuwa kama external halafu unatumia ule waya wa otg kama ni simu na usb ya kawaida kama ni laptop.Mpaka niwe na niiveshe case au pasipo ndo naweza yafanya mkuu ikisoma ntafata option zipi? Na je kwa simu ya tecno w5 itakubali?
unaivisha case inakuwa kama external halafu unatumia ule waya wa otg kama ni simu na usb ya kawaida kama ni laptop.
tecno nyingi hazina otg, ile test inaweza kuwa nayo.