Recent content by martin.d.k

  1. M

    Weusi kufulia baadae sana

    Kakataka iphone nkakanunulia Apple kakatafuna kisha nkakatafuna, kakataka nkatoe out nkakatoa nje kakapunga upepo.... Weuuuhc
  2. M

    Msaada wa learning material za CPA

    Kaka hizo link inafunguka moja tu yenye A5
  3. M

    Intervew NMB

    Wamekuita wapi(mkoa)?
  4. M

    Nafasi za kazi NMB

    Atakayeitwa kwenye interview tujulishane.
  5. M

    Msaada wenu kuhusu VETA

    Mimi pia ninayatafuta ila cjafabikiwa japo wanasema huwa yanabandikwa kwenye kituo alichochagua.
  6. M

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Hivi karibuni Signal wilayani lushoto imekua mbovu sana, niliiweka benchi line yangu ya tigo na airtel sababu ya internet nzuri voda ila sasa ivi naona na huku ni majanga matupu, nanunua MB zina-expire cjatumia hata nusu yake rekebisheni 3g, naipenda voda but ikipita wiki moja hamjarekebisha...
  7. M

    Young D vs Young Killer

    Killer ni shida asee... “Hata Francis Cheka naeza mpiga punch akalia"....
  8. M

    Sitokisahau chuo cha St John's cha Dodoma

    Usichokijua ni usiku wa kiza kinene..mtoa uzi kapotosha uma, hicho kitu hakipo. Pia sio uungwana kujudge situation kama hauko well informed.
Back
Top Bottom