Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Kucertify mkuu ni kwenda mahakamani au kwa wakili kuthibitisha kama copy za vyeti vyako ni copy za vyeti halisi,so atagonga muhuri wake na atatia saini,hapo zoezi la kucertify litakuwa limekamilika,then unaenda kuvituma,huko kucertify kuna gharama zake,mara nyingi mahakimu wa serikali hawana gharama kama binafsi,kila la kheri mkuu
Hivi kumbe kuna mahakimu binafsi(wakujitegemea) na mahakimu wa serikali?