JF members wa Dar pita hapa tutambuane

JF members wa Dar pita hapa tutambuane

Tatizo la Jf haina member kutoka tandale na manzese..
 
Hahaha unafikiri nani haogopwi kung'olewa meno na kucha humu? Kutaja sehemu unayoishi na jina kamili sioni kama ni salama kwako hata kidogo.

Hakuna hatari yeyote mkuu wa jeshi kutaja sehemu unayokaa na jina lako wasiwasi wako tu.mi naitwa Barack nipo Beaufort West,47 Herman street, South Africa.bado ni mpya hapa ila I wouldn't hesitate to connect to new friends here in jamii forum
 
Mimi nipo Kurasini along mandela road karibu na pub ya Kibabu
 
Tegeta Boko Karibu Uswaz Nyumba 3 Kwenye Kiwanja Kimoja 20 Kwa 20
 
Back
Top Bottom