Weusi kufulia baadae sana

Weusi kufulia baadae sana

Kwenye music now hakuna new idea kila style ilishaimbwa,na music wa bongo hauna identity

Yeah nimekuelewa mzee,nilikuwa naweka tu record sawa kwamba wimbo ni bubble gum,wamekopi floo kwa wagenge. Na ndio maana utafeli,wanafata nyayo za izzo bizness.
 
Big Up Mweusi ...
Wataelewa tu kwa fasi kalisha Dandara..
 
hao jamaa wachawi kweli wa ku copy na ku paste. kwann wasije na ubunifu wana edit nyimbo za mbele.

Hizi chuki kwa weusi unazitoa wapi mkubwa.?? Jamaa hawana shida na mtu.

Only hit after hit.
Una kohoa nini??
 
Aliye na link ya 'safari' audio, atuwekee hapa tudownload.
 
Yeah nimekuelewa mzee,nilikuwa naweka tu record sawa kwamba wimbo ni bubble gum,wamekopi floo kwa wagenge. Na ndio maana utafeli,wanafata nyayo za izzo bizness.

na wewe umeona eenh!?nilwahi kumwambia izzo kuhusu hili akiwa hajatoka kabisa,Mbeya kule.alikua na nyimbo inaitwa 'wananongóna'.lyrics za kawaida ila zingewweza kabisa kumtoa ila dog alikua anachana kama Fid kabisa aisee.

yaani gandamizia ileile,tukamwambia utachelewa sana kutoka na akija mwenye 'hatimiliki' ya hiyo flow utaimba nini jamaa!?aliniona mkuda sana..... ila baadae rafiki ake akaniambia hata yeye izzo kaanza kuelewa!

unaweza sample ala,na kwa ruhusa ya mwenye nayo,hata mashairi.ila flows kwenye hip hop hapana!haikai sawa tu ukizingatia utamaaduni wa muzii wenyewe
 
na wewe umeona eenh!?nilwahi kumwambia izzo kuhusu hili akiwa hajatoka kabisa,Mbeya kule.alikua na nyimbo inaitwa 'wananongóna'.lyrics za kawaida ila zingewweza kabisa kumtoa ila dog alikua anachana kama Fid kabisa aisee.

yaani gandamizia ileile,tukamwambia utachelewa sana kutoka na akija mwenye 'hatimiliki' ya hiyo flow utaimba nini jamaa!?aliniona mkuda sana..... ila baadae rafiki ake akaniambia hata yeye izzo kaanza kuelewa!

unaweza sample ala,na kwa ruhusa ya mwenye nayo,hata mashairi.ila flows kwenye hip hop hapana!haikai sawa tu ukizingatia utamaaduni wa muzii wenyewe

Aiseee..!! Yani wewe ni mbululaz.

Kwamba weusi wanamkopy izzo.?!?
 
Jamaa kwa kupiga show nishidaaa,Kama ulikua hujui show zao ni full burudani
 
Kakataka iphone nkakanunulia Apple kakatafuna kisha nkakatafuna, kakataka nkatoe out nkakatoa nje kakapunga upepo....
Weuuuhc
 
Aiseee..!! Yani wewe ni mbululaz.

Kwamba weusi wanamkopy izzo.?!?

matumizi ya lugha kama yako yanaonyesha ufinyu wa ufahamu wako unafikiri kwa kutumia ma**k* huwezi shughulisha ubongo wako nilisema kama FID SIO WEUSI,ny*k*,soma vema kabla hujapost ushu* wako najua nachoongea na kuamini NA SIO LAZIMA KIWE KAMA CHAKO!
 
na wewe umeona eenh!?nilwahi kumwambia izzo kuhusu hili akiwa hajatoka kabisa,Mbeya kule.alikua na nyimbo inaitwa 'wananongóna'.lyrics za kawaida ila zingewweza kabisa kumtoa ila dog alikua anachana kama Fid kabisa aisee.yaani gandamizia ileile,tukamwambia utachelewa sana kutoka na akija mwenye 'hatimiliki' ya hiyo flow utaimba nini jamaa!?aliniona mkuda sana..... ila baadae rafiki ake akaniambia hata yeye izzo kaanza kuelewa!

unaweza sample ala,na kwa ruhusa ya mwenye nayo,hata mashairi.ila flows kwenye hip hop hapana!haikai sawa tu ukizingatia utamaaduni wa muzii wenyewe[/

Sijui kigumu hapa kwa data kuelewa kilikua nini...au ndio ushabiki maandazi!?
 
Back
Top Bottom