Nauga mkono chapisho lako bila kupindisha shingo.Limekuwa ni suala la kawaida jwtz kuchangia guvu kidogo yenye matokeo chanya kwenye operations.
Sematu kunabaadhi ya watu hawajaelewa, wao wanafikiri wataenda maafande takribani 200 rahasha.Halafu watu wanachelewa tu kuelewa kama hawa jwtz wako...
Ni kweli mkuu, most Tanzanians tunaongea kingereza kilichojaa rafudhi ya kiswahili na hii si rahisi kuepukika unless tuhame tuende nchi nyingine ambapo tu wish kufanana accent.
Vivyo hivyo kwa watanzania ambao wamekua wakizungumza lugha zao za asili (kama umevyoorodhesha katika comment yako)...
CDA imeibia wengi sana kwakuwadanganya kuwa wanawatafutia viwanja then baada ya kupewa fedha tu mpango unabadirika hakuna kinacho fanyika tena.Kuna jamaa yangu na mwl wangu walilaghaiwa miaka nane sasa imepita.Lakini vilevile CDA walikuwa hawatake hati za kimila into consideration wakati...
Viongozi wengi tz wanadhani kuwa kila polisi hafuati sheria Kama wao shame on them. Ingelikuwa mimi ndie polisi ningelimjeruhi kidogo mguuni ili ajue nipo nawatumikia wananchi.
Piga kazi mkuu achauvivu wewe hata miezi miwili huna umeshaanza kulialia mshahara.Mshahara utaupata tu serikali haiwezi kukuajiri wakati inajua haiwezi kukulipa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.