What's up Ugandan babes!

heavyload

JF-Expert Member
Jan 22, 2017
900
497
As man I would like to appreciate your sweetness.Really you are!
But something spoils you, is your rude,unlovely, unfaithful behaviours against men especially those men from Tanzanian, Kenya who come there. You steal and sometime you harm them
 
Ukimkuna vizuri Mwanamke wa Uganda hawezi kukuibia yaani anakuwa kama ndiyo anaanza mapenzi
 
As man I would like to appreciate your sweetness.Really you are!
But something spoils you, is your rude,unlovely, unfaithful behaviours against men especially those men from Tanzanian, Kenya who come there. You steal and sometime you harm them
Wewe ulikutana na vishoka wa town na sasa unalalamika Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wezi na kuwazuru wanaume hasa toka Tanzania or Kenya, vipi bogo pakoje kwa wageni????????????? si ni hayo hayo tu ukikutana na vishoka wa town?????????
Kama unataka demi wa kiganda usiende baa ama club kutafuka huko kamwe utakutana na vishoka tu, yatakayoikukuta usilalamike GOODS ARE SOLD AT OWNERS RISK, weyw ingia kitaaa utapata na hutapata hayo matatizo ya kuibiwa ila tamu tamu tu ndo utapewa na kusahau kwako na kuhamia Ug
 
Wewe ulikutana na vishoka wa town na sasa unalalamika Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wezi na kuwazuru wanaume hasa toka Tanzania or Kenya, vipi bogo pakoje kwa wageni????????????? si ni hayo hayo tu ukikutana na vishoka wa town?????????
Kama unataka demi wa kiganda usiende baa ama club kutafuka huko kamwe utakutana na vishoka tu, yatakayoikukuta usilalamike GOODS ARE SOLD AT OWNERS RISK, weyw ingia kitaaa utapata na hutapata hayo matatizo ya kuibiwa ila tamu tamu tu ndo utapewa na kusahau kwako na kuhamia Ug
Ila hata kitaa mpaka uwe na mwenyeji au sio
 
Duh umenkumbusha mambo kweli kweli kuna wale wadada wa kinyankore wamefanana sana na watutsi yani hao waacha kabisa nikipata mkwanja lazima ntarudi tena Kampala...
 
Back
Top Bottom