Mdudu halisi
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 2,730
- 4,768
Polisi wamewapa raia amri ya kutotembea kuanzia saa 12 jioni kule Kibiti, Mkuranga na Ikwiriri. Wakati raia wanaingia majumbani kwao nyakati hizo za magharibi, polisi nao wanaingia kwenye mahema yao na kuwaacha magaidi wakitembea kwa uhuru na hivyo kumuua yeyote wamtakaye bila upinzani wowote.