Recent content by Marlex Jr

  1. Marlex Jr

    PostGE2025 Spika wa bunge itisha bunge kujadili matatizo makubwa na ya dharula yanayoikumba nchi yetu

    Spika anapatikana kama mwenyekiti wa kamati ya harusi hawezi kuwa na makali hayo kamwe..
  2. Marlex Jr

    Fuga App Inakuja Hivi Karibuni

    Ahsante kwa hili
  3. Marlex Jr

    Mpe ushauri huyu kijana ili aufanyie kazi

    Ndoa ni azma ya maisha yote kwa mume na mke, kila mmoja kwa mwenzie na kati ya wanandoa hao na Mungu. Ndoa ni umoja wa maisha yote na pia ni ishara kati ya kristo na kanisa lake. "Wale waliooana ni vyema wasiachane, mume na mke wanapoachana wanatangaza kuwa Mungu sio pendo. Kiapo cha ndoa ni...
  4. Marlex Jr

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Wajita hatuna mazuri mkuu? hasa hao wa kike... Na unapo mchukia mtu acha kueneza sumu hiyo kwa wengine na kuijumuisha hiyo sumu na jamii nzima anayo tokea mtu huyo. Na fahamu familia nying za kijita ambazo wanaishi baba, mama na watoto.
  5. Marlex Jr

    Mwanamke bikira ndiye mwenye uhalali wa kutolewa mahari

    Mjadala wa bikra uende sambamba na umri upi ni sahihi wa Binti kuolewa.
  6. Marlex Jr

    Walimu wenye likizo Desemba 2023 hawajalipwa nauli zao pamoja na serikali kutoa fedha muda mrefu

    Kuwa mpole IPO halmashauri ambayo haijawalipa walioomba mwezi wa 6 sembuse wa 12.
  7. Marlex Jr

    Ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara

    Nami natafuta maarifa hasa ya ujenzi wa mabanda Bora nianze November hii ufugaji wa kuku wa kienyeji...
  8. Marlex Jr

    Wale wa EPL tabiri top 4 mapema ukianza na bingwa

    Arsenal the Gunners Manchester city the citizens Liverpool vijogoo Newcastle United Manchester United Aston villa
  9. Marlex Jr

    Dkt. Slaa ni dhahabu iliyokosa mteja?

    CHADEMA wampe fursa tena, Lowassa alisharudi kwao hivyo pia arudi kwao.
Back
Top Bottom