Ni mikoa gani Tanzania inafaa kwa kilimo na mifugo? Na ni wilaya zipi katika mikoa iyo n maharufu katika izo kazi.
Bei ya mashamba zipoje katika mtazamo wa kununua na kukodi, na je hekari moja lina uwezo wa kuzalisha gunia ngapi za nafaka/mazao kipimo cha 100kg kwa kila gunia?
Bei ya mashamba zipoje katika mtazamo wa kununua na kukodi, na je hekari moja lina uwezo wa kuzalisha gunia ngapi za nafaka/mazao kipimo cha 100kg kwa kila gunia?