Valentina alikua mtu aliyependa kutengeneza marafiki. Mwaka 2017 tulikutana hapa JF baadaye akaniunga kwa WhatsApp group lake ila siku interested tukabakia kuwa marafiki kwa muda wote!
Mara nyingi alikua akinialika endapo nikiwa Arusha tubadilishane mawazo ila ratiba zikawa ngumu hata niendapo...
The way wanajeshi wanavyokua trained taifa kwao ni zaidi ya roho zao na mbele ya taifa lao hawajali kitu kingine chochote. Huyu jamaa inaelekea falsafa na saikolojia ya jeshi iliingia kwa DNA yake moja kwa moja! Waliomtrain huyu jamaa watakua very proud na hii product japo kisiasa atakua an...
Umefanyika uzembe mkubwa sana. CRDB wangepaswq kufanya PR vizuri na kuuandaa umme kwa muda wa kutosha kabla hawajasaasisha huo mfumo wao! Tumepata usumbufu mkubwa sana,pesa zetu hazijukikani zilipo na miamala mingi ya biashara imekwama au pesa zimetokomea kusikojulikana. Wahudumu wao hawana...
Nikiri kwamba huu ni uzi nilioupenda sana kwa sababu unadadisi upande mwingine wa maisha tofati na tuliyofundishwa shuleni,kanisani na msikitini! Hata hivyo namlaumu mleta uzi huu adhimu kwa sababu ameutelekeza bila kuufunga kwa heshima stahiki zinazoendana na hadhi ya uzi huu
Kama Arsis au...
Kwa mtazamo wangu CRDB hawakutumia ueledi kuwasiliana na umma kwa kina kabla ya kufanya hiyo upgrade yao! Usumbufu niliopata ulinifanya kwa mara ya kwanza nione bank sio mahali salama pa kutegemea ktk miamala ya biashara
Sasa kuna watu wanafanya biashara za kawaida mtaani akukupa hesabu yake ya mwezi ndio utadata zaidi. Jamaangu mmoja aliacha kazi ya ualimu 2019 sasa hivi ana biashara anatengeneza 50M+ kwa mwezi
Haijalishi unafanya nini ila weka juhudi sana na ujitume nje ya box vinginevyo utaishia kutazama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.