Kama ni kwa kanisa Katoliki kwake yeye mama waziri ni sawa ila kwa muslims kama Maja ni mwislam as inavyoonesha kwa wasifu wake basi kuna shida mahali!!kiislam huwezi kua na mke anaenda church na mume unaenda msikitini huo ni uzinzi na hata itapofika holy month of Ramadhaan atakua hafungi rather...
Je ndoa ya waziri mkuu Majaliwa ni ya kiserikali ama? Mkewe ni mkatoliki while mumewe ni mwislam kwa sisi watu wa dini tunasema hakuna ndoa zaidi yaaaaaaa
Hebu nipe #yako inbobo mie nitakua romantic na nitapenda tuwe tunachat na pia tukiwa wawili tutakua tunaongelea mapenzi mubashara as well as hatutofukua makaburi yako ya nyuma
Mkuu Blessings michepuko ni hatari sana mm nimeachana nao since September 2016 ninajiona mwepesi sana maana matumizi ya mchepuko ni noma sana:-
1.Kila week 30,000/ Salon
2.Though yupo alone 20,000/ chakula daily
3.Luku ikiisha 20,000/ kwa mwezi
4.Kila baada ya week tatu uende kwao na mfuko wa...
Kiukweli siasa imeingia ktk suala hili la Makonda kushika wasanii mwaka jana Makonda alikua na operation ya kufanya usafi ktk jiji la Dar es Salaam na akaita wasanii waje wampe support ktk kulisafisha jiji bahati mbaya ama nzuri muitikio ulikua mdogo sana kwa wasanii Makonda akajikuta anang'aa...
Katika hili hausiki na wala hatohusika mwambieni wa kwenu awaite waje wafanye wanavyoweza maana km kaweza kuwapa tender waturuki na kuwaacha wachina hashindwi na lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.