bahati yake nilijua joysi leo ningemuachahaha mi sio joy
Endelea kujidanganyakachelewa kunijua
ananisifia nna kyuma tam,navutia plus(ila hajawahi kusema ananipenda)
hata mimi uandisho wako umeniacha hoi
huwa nabaki naangaliaga tu maana nakosa hata la kufanya, roho inaniuma sana kuona jamiiforum inaharibiwa hadi na baadhi ya watu nafurahi hata wewe ndugu umeliona hili.... JamiiForums Invisible Moderator RGforever mko wapi mbona hamfanyi kazi yenu ipasavyo? jaribuni kudhibiti baadhi ya wanachama humu hawana staha hasa hawa wenye ID za [HASHTAG]#Member[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Senior[/HASHTAG] Member huenda labda hawajui utaratibu, ila inabidi wajue humu tuliopo Great Thinker waache kuleta ustaarabu instargram na facebookKipindi cha nyuma kidogo kuna baadhi ya maneno ilikuwa ni ngum sana kuyaandika au kuyatamka lakini siku hizi hata jinsia ya kike wanayatamka. Tunakokwenda ni kubaya zaidi
Hebu nipe [HASHTAG]#yako[/HASHTAG] inbobo mie nitakua romantic na nitapenda tuwe tunachat na pia tukiwa wawili tutakua tunaongelea mapenzi mubashara as well as hatutofukua makaburi yako ya nyumaananisifia nna kyuma tam,navutia plus(ila hajawahi kusema ananipenda)
hela ananipa ila msg anachagua za kujibu,hua hatuchat labda kama tunataka kumeet(tho nataman niwe nachat nae sana),
hayuko romantic hata tukiwa ote haongelei mapenzi its like hana interest na mm ila kwenye kunjunju anahakikisha naenjoy.
najua ana mke ila nmeanza kufall na ni my frst mchepuko ila s.times kuna vitu anafanya simuelewi.
kuna siku aliniuliza kitu ili kumjibu ilitakiwa "nifukue kaburi"(past rtnshp) mara gafla akakataa akasema niache,akat ye ndo kauliza.
siku ingne nkikataa kupokea ela zake anamind and unamuona sura imechange,
siku ingne tena kanikuta naongea na mchumba wangu kwenye simu akasusa(japo hakusema ile simu ndio sababu ila alijifanya he has s.thing else to do,akaondoka).
hatujawahi kugombana.
wanaume wenye michepuko mkifanya hivi mnamaanisha nini?
natamani kumuelewa zaidi,
wengi mtasema niachane nae ila ndo ananitimizia mahitaji yangu mengi sana.
zee la michepukoHivi huko mnakofundwa mnafundwa ujinga?

Mwenye michepuko yake hupo hapo juuzee la michepuko![]()
hahahhh kwani ww hauna michepukoMwenye michepuko yake hupo hapo juu