Mizengo Kayanza Peter Pinda

Mizengo Kayanza Peter Pinda

Ni wale vijana wa Nyerere ukiona maisha ya Nyerere hayana tofauti na ya huyu mzee. Ndugu zake wakiumwa wanatibiwa kwenye hospitali zetu hizi hizi. Watoto wake tunapanda nao bodaboda hapa mjini. Mfano mzuri wa kuiga.
 
Anawasiwasi gani,Huku kaasali,kule kang'ombe,pole ka zabibu,huko kashamba ka mbiga na vimahindi vya kuchoma kuongeza joto mwilini.Ukweli napenda maisha yake niyakawaida saana,hanatofauti na wengine waishio vijjjni-kasoro yeye alikua kiongozi tu.

Hahaha inabidi na mzee mamvi nae afanye alioahidi arudi zake monduli siasa awachie vijana. Mzee kachoka ingebidi apumzike nae alee wajukuu!
Safi sana Mzee Pinda
 
Hakuna siku aliyonikosha kama alisimama bungeni akasema ukiambiwa usifanye fujo na wewe ukakaidi utapigwa tu maana hakuna namna lazima tukubaliane nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya kisheria sasa kama wewe unajifanya wewe ndiyo jeuri zaidi utapigwa tu na mimi nasema wapigeni tu maana tumechoka sasa
 
Hahaha inabidi na mzee mamvi nae afanye alioahidi arudi zake monduli siasa awachie vijana. Mzee kachoka ingebidi apumzike nae alee wajukuu!
Safi sana Mzee Pinda
Hawezi kurudi huko.
 
Hahaha inabidi na mzee mamvi nae afanye alioahidi arudi zake monduli siasa awachie vijana. Mzee kachoka ingebidi apumzike nae alee wajukuu!
Safi sana Mzee Pinda
Mkuu unawezaje kujua kuwa Mwanaume mwenzio kachoka?
 
Huyu mzee pamoja na mapungufu yake namkubli sana,anaishi maisha anayotaka mwenyewe,yani hana madoido kabisa.
Naikubali sana style ya maisha yake.
a725c7264aa304fa0166719d086ca290.jpg

8211e276225415f0ed11de102fbc21c4.jpg
Why awe na four names!?
 
Anawasiwasi gani,Huku kaasali,kule kang'ombe,pole ka zabibu,huko kashamba ka mbiga na vimahindi vya kuchoma kuongeza joto mwilini.Ukweli napenda maisha yake niyakawaida saana,hanatofauti na wengine waishio vijjjni-kasoro yeye alikua kiongozi tu.
Halafu kule machoni ana machozi mengiiiiiiiii ukimuudhi kidogo tuu alia huyoooooo ka n'toto n'dogo hadi afutwe machozi na kipande cha kanga
 
Back
Top Bottom