naona mwigulu umecchukua defn. kwenye google... yani huyu jamaaa sijui nimuite jina gani maana ni zaidi ya mchawi...! halafu kinachoniudhi zaidi kwa huyu ni kumtaja Mungu kwenye mambo yake ya uongo na ufezuli....!
we nape sidhani kwamba kabla ya kuongea na kuandika unafanya vikao binafsi kichwani, manake unaropoka tuuu...!
Nina shaka na uwezo wako.....! think big like a man...!
mdau nenda kachukue...! ukiona haikusaidii unaitupa...! ha ha ha ha ha!!!! dogo anachekesha, mbona anawaza ajira kivile... watu kama hawa ndo wanasuguaga bench hadi wakome...!
hoja yako kaka hujafanyia utafiti kabisa, hebu jaribu kufuatilia habari then after like 2months utajua ukweli upo wapi mukuu...!
in short inatakiwa kabla ya kuweka mada jamvini you have to think big na kuwa na info za kutoshamdau...!
pole sana but haya mambo hayanaga uzoefu....! once it comes it come in different ways, na huwezi jua hata siku moja mwanaume/mwanamke mkweli until you come together...!
once again pole sana....! cha muhimu tulia tazama mbele siku zooote...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.