mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
Wananchi wanakiu ,wako tayari kwa mabadiliko lakini wanasiasa na vyama vyao yaelekea hawako tayari kwa. mabadiliko ya kweli,na uongozi tofauti na huu wa ccm uliopo.achilia mbali vyama vingine vya siasa ,ngoja niseme kuhusu CHADEMA,kimebaki kiki randa randa mijini tu huku kiki tambua kura zipo vijijini.
huenda chama hiki hakina nia ya dhati kwa ukombozi wa mtanzania.ukiwatazama kwa undani utadhani wana nia ya dhati ya kupatia wananchi uongozi mpya.
mfano wa mambo haya ni kuwa hawaendi vijijini.huko ndiko kura zilipo lukuki kwa wananchi wa maeneo hayo.
Utasikia doct katikisa jiji la mwanza,mbowe kafunika mbeya ,sumbawanga,iringa ama shinyanga na nk.kamwe mkakati huu wa kwenda vijijini naanza kuona kama vile unachelewa sasa.
sisi wapiga kura tuna jiuliza safari za mwenye kiti wa taifa wa cdm kwenda ikulu na mazungumzo ya siri yalilenga nini?
Mbona hakuna msukumo wa moja kwa moja kwa viongozi hawa toka mioyoni mwao kuhusu kupambana na mkoloni huyu mweusi?,HUKO MIJINI MMEWAELEWA,SASA NENDENI VIJIJINI,WAMEMWACHA ALIFONCE MAWAZO PEKEE ANAKATA MBUGA KWENDA VIJIJINI.
kama chadema kina tudanganya mwisho wa siku kiseme ,tujipange upya kwa 2015.u wapi mkazo na kutembelewa wanakijiji,SASA uchaguzi wa 2014,wa serikali za mitaa umefika.na huo mkuu u puani tu.KAMA CDM HAINA NIA HIYO ISEME MAPEMA ILI SISI TUCHAGUE HATA JIWE,KULIKO KUENDEKEZA UONGOZI WA ccm,na madhambi yao.
huenda chama hiki hakina nia ya dhati kwa ukombozi wa mtanzania.ukiwatazama kwa undani utadhani wana nia ya dhati ya kupatia wananchi uongozi mpya.
mfano wa mambo haya ni kuwa hawaendi vijijini.huko ndiko kura zilipo lukuki kwa wananchi wa maeneo hayo.
Utasikia doct katikisa jiji la mwanza,mbowe kafunika mbeya ,sumbawanga,iringa ama shinyanga na nk.kamwe mkakati huu wa kwenda vijijini naanza kuona kama vile unachelewa sasa.
sisi wapiga kura tuna jiuliza safari za mwenye kiti wa taifa wa cdm kwenda ikulu na mazungumzo ya siri yalilenga nini?
Mbona hakuna msukumo wa moja kwa moja kwa viongozi hawa toka mioyoni mwao kuhusu kupambana na mkoloni huyu mweusi?,HUKO MIJINI MMEWAELEWA,SASA NENDENI VIJIJINI,WAMEMWACHA ALIFONCE MAWAZO PEKEE ANAKATA MBUGA KWENDA VIJIJINI.
kama chadema kina tudanganya mwisho wa siku kiseme ,tujipange upya kwa 2015.u wapi mkazo na kutembelewa wanakijiji,SASA uchaguzi wa 2014,wa serikali za mitaa umefika.na huo mkuu u puani tu.KAMA CDM HAINA NIA HIYO ISEME MAPEMA ILI SISI TUCHAGUE HATA JIWE,KULIKO KUENDEKEZA UONGOZI WA ccm,na madhambi yao.