Yani nikibonyeza tu ili kuweka inaandika unexpected error uncured ndo tatizo hapo na akaunti ukiitafuta hauioni tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Ndungu zangu kwa majina naitwa Marathon Muziki, kijana ambaye ni Msanii underground but kuna shida moja imenikumba mara 3 kupitia instagram.
Hivi karibuni instagram ilitangaza kuboresha huduma zao kwa kuongeza vipengele vipya na kututaka kuupdate ili kufaidika na huduma hizo mpya...
Habari Wadau wa JamiiForum naomba msaada kwa ambaye anajua maana ya Western union kwa Undani zaidi na namna inavyotumika nchini na nje ya nchi kwenye maswala ya kutuma na kupokea fedha kwenye mitandao hasa YouTube Channel inapokuwa imetimiza vigezo vya kulipwa mtonyo na Google Adsense.
Kwa...
Hivi karibuni Msanii RayVanny aliachia wimbo mpya unaoitwa Mwanza akiwa na Diamond Platinumz.
Baada ya siku kadhaa kupita Baraza la Sanaa taifa "BASATA "likaamua kuufungia wimbo wao wakitoa sababu kuwa una maudhui ya Ngono ila chakushangaza wimbo huu siku ya WasafiFestival2018 Morogoro...
Imeandikwa na Malisa GJ
Ilikua dakika, masaa, siku na hatimaye wiki imekatika. Habari ya kutekwa kwa MO ilipobreak kwa mara ya kwanza alhamisi kama leo wiki moja iliyopita ilileta taharuki nchi nzima. Kwenye mitandao na hata main streams ilikua ndio mjadala wa siku. Lakini kadri siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.