Marathon Muziki
Member
- Sep 17, 2018
- 25
- 23
Hivi karibuni Msanii RayVanny aliachia wimbo mpya unaoitwa Mwanza akiwa na Diamond Platinumz.
Baada ya siku kadhaa kupita Baraza la Sanaa taifa "BASATA "likaamua kuufungia wimbo wao wakitoa sababu kuwa una maudhui ya Ngono ila chakushangaza wimbo huu siku ya WasafiFestival2018 Morogoro mashabiki waliimba baada ya RayVanny kupanda, nimekuwekea link utazame mwenyewe na utoe maoni yako
Baada ya siku kadhaa kupita Baraza la Sanaa taifa "BASATA "likaamua kuufungia wimbo wao wakitoa sababu kuwa una maudhui ya Ngono ila chakushangaza wimbo huu siku ya WasafiFestival2018 Morogoro mashabiki waliimba baada ya RayVanny kupanda, nimekuwekea link utazame mwenyewe na utoe maoni yako