JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Nipo njiapanda
hivi ndoa ni kitanzi kwa wanandoa kwamba hata kama ndoa inakunyonga uvumilie? cha msingi procedures zote zifuatwe hasa mahari, mtu akifunga ndoa haina maana kuwa hawezi kukuacha au kuoa mke mwingine, ni jinsi maisha, hulka, tabia na mioyo yenu itakavyojielekeza.