Recent content by Mapigo Saba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hili Vazi ni maalumu kwa haya matukio?

    Vazi jeusi ni kwa nini ni maalumu nyakati za misiba? lengo lilikuwa nini?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mchezo unachezwa TANESCO

    mimi situmii Luku natumia mita tu, hayo maluku ni wizi wakuu, kwani bila kuwa na kuanzia na 10000 hupati umeme, lakini mita hata 4000 umeme unao.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mchezo unachezwa TANESCO

    Bill ya umeme ya mwezi wa Kwanza ambayo imekuja mwanzoni mwa mwezi huu wa pili imewaacha watu hoi na nilidhani matumizi ya nyumbani kwangu ndo yamekuwa makubwa na kuanza kuwafokea watoto, kumbe ni kila kona ni kilio, kila mwezi bili yangu ya umeme ilikuwa inarange 5000-5500, LAKINI cha...
  4. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA, tutafakarini kwa pamoja haya

    Kazi ya chama chochote cha siasa ni kusaka madaraka ili yale matamanio yao kwa wananchi ya muda mrefu wayatimize.
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemuachia bill mchunaji

    Ndo ukute hata Nauli hawakuwa nayo...More interesting...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo njiapanda

    hivi ndoa ni kitanzi kwa wanandoa kwamba hata kama ndoa inakunyonga uvumilie? cha msingi procedures zote zifuatwe hasa mahari, mtu akifunga ndoa haina maana kuwa hawezi kukuacha au kuoa mke mwingine, ni jinsi maisha, hulka, tabia na mioyo yenu itakavyojielekeza.
  7. M

    JamiiForums Tanzania James Ole Millya na mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA Arusha huu hapa

    Naamini asilimia mia habari hii, kwani Lowassa ndiye aliyemsomesha James Olle Millya pale Tumaini University Iringa, wakati anasomea shahada ya kwanza ya Sheria, kwa hiyo hii ni planned tu, na mara tu niliposikia kuwa kahamia chadema, wenye akili timamu tulijua kuwa ni "kwa kazi maalumu".
  8. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA mbona mnatuchanganya? Hii nini maana yake kuhusu Lipumba na UKAWA?

    Ukawa mlianza moto sasa ni baridi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mh. Machemli, mbunge wa Ukerewe aburuzwa kortini kwa kutokumlipa mshahara katibu wake

    Machemli kakosea sana, na hii ni hatari kwake na chama chake, wao ndo huwa wanasema kuwa CCM/serikali ni wanyonyaji kwa wafanyakazi lakini wao ndo wa kwanza kuwanyonya wafanyakazi, hivi elfu 70 kwa mwezi ni nini?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini binadamu na wanyama wote wakiwa wanakata roho hutapatapa?

    Mkuu sambamba na hili jiulize ni kwa nini mtu akiwa anakufa, miguu inaanza kuwa ya baridi? hii baridi inaanza taratibu miguuni na kupanda juu.
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mdosi kaniganda

    Hakuna kitu hapo, yawezekana ndivyo alivyo sasa utafanyaje? yawezekana huko unakohisi hayupo!
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kujinyakulia vimwana na vibuzi wa JF bila jasho (The beauty and the beast)

    Mcharo kawa mtamu..
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada:Mchumba ananipa wakati mgumu

    mcharo kawa mtamu....
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

    uwe unaandika vzr wengine humu ni wa wazee sasa short cut hatuziwezi, but pole sana msamehe, ndoa.hiyo bado changa sana vumilia.
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demu kaniaribia siku

    kwani daktari mmoja wa Tanzania anahudumia wagonjwa wangapi kwa dakika 60?
Back
Top Bottom