UKAWA, tutafakarini kwa pamoja haya

UKAWA, tutafakarini kwa pamoja haya

Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu

Sijaelewa, ni chama gani kinajenga barabara, na tsh billion moja inajenga barabara gani ya maana? Lorry moja la kifusi tani 15 siyo chini ya laki2.5 had tatu na ukikisambaza hata mita20 kwa unene wa sentimita15 haimalizi. Hicho ni kifusi, bado base course ambayo lorry moja ni lak9 kule Lugoba, uje lami na mitaro!

Nijuavyo mimi mkusanya kodi ataitumia kodi kutoa huduma. Siyo CCM au Upinzani watapaswa kutumia ruzuku kuboresha miundombinu bali ni uendeshaji, ni kama overhead cost tu! Naweza kukubaliana na mtoa uzi kwa nini vyama havina ofisiza maana. Walitenga million500 (nusu billion) wanapata jengo zuri tu iwe kama ofs kuu yao
 
Kazi ya chama chochote cha siasa ni kusaka madaraka ili yale matamanio yao kwa wananchi ya muda mrefu wayatimize.
 
Maswali yako yanadhalilisha elimu yako na kama umeajiriwa lazima unasababisha hasara tuu,!
 
Sasa wakitumia ruzuku kujenga barabara na hospitali,hao wanaokusanya kodi kwa kazi hiyo wataifanyia nini?
 
obvious unaitaji darasa la kujua nini kazi za chama cha siasa here we go
siyo kazi ya chama cha siasa kujenga shule, barabara wala hospitali kwa sababu hawakusanyi kodi yoyote kutoka kwa wananchi kwahiyo ndio maana wako kwy ushindani ili kupata nafasi ya kuyafanya hayo wanayoyasema wakiingia madarakani.

kazi ya ruzuku kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ni kwa ajili ya kusaidia kuimarisha na kuendesha vyama vyao si kwa ajili ya kujenga barabara wala hospitali na ukipeleka matumizi kama hayo kwa msajili wa vyama utakuwa kwy matatizo makubwa kwa maana ni kinyume cha sheria.

Shs bilioni 1 kwa vyama vitatu vikuu si pesa nyingi kwa kuendesha chama kwa nchi nzima kwhiyo hata hizo ofisi nyingi wausika wamejitolea kwa sababu ya mapenzi yao pesa hiyo

wameweza kukitumia kiasi hicho kidogo cha fedha kujiimarisha nchi nzima na matunda yake umeyaona hivi karibuni kwahiyo utendaji wao ni mzuri kwani wanafanya kazi katika mazingira magumu sana kwahiyo ukifanya cost/benefit analysis kwa shs bil.1 kwa mwezi na mafanikio waliyoyapata hivi karibuni ni miracles
mkuu well said
 
- Nashukuru kwa michango yenu, niliomba tusaidiane kujibu wengine mna jazba, sio uungwana.
- Lakini hayo niliyoulizwa nami nikauliza hapa, imetajwa ANC iliyoanza 1912 kule Africa ya kusini kwamba ilijijengea umaarufu na kuaminika kwa wananchi kwa kuyafanya hayo niliyoulizwa

-- Ok ujenzi wa barabara sio kazi ya chama, na ujenzi wa ofisi za chama sio kazi ya chama? au bado tunapima upepo bado hatuna uhakika na kuitawala nchi baadae?
-- kuwepo kwa miaka 22 kwa vyama vya upinzani si haba, kweli umri hautoshi kuwa na ofisi za kujengwa na chama chenyewe?
 
izo posho nazo duuuh!
mi ngoja tu nigange yangu...sasa hao wa sisiemu posho zao si ntazimia tu mie..

aya banai
ila kura ntawapa tu ukawa ila siwatetei kusema ni watu bora saaaana mana watz ni km tunalaana flani ivi
 
Kabla sijajibu chochote naomba waulize ccm warudishe kwanza office za wananchi wajenge zao
 
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?kujibu
ccm inapata bil. ngap?
 
jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu

ww ni zaid ya punguani!
 
Jamani habari za weekend...............
Mimi siipendi ccm kuliko mugabe asivyopenda nchi za magharibi...........

Lakini tasaidiane kujibu hoja hizi nilizokumbana nazo,

kwamba vyama vinavyounda ukawa vinapata ruzuku kubwa kwa pamoja si chini ya 1bil kila mwezi, lakini sasa matumizi yake vipi? Yanaendana kweli na watu wenye dhamira ya kweli ya kuchukua madaraka?

-- mfano cdm wamepanga karibu ofisi zote kuanzia shina hadi taifa, kwa nini hawajengi ofisi za chama?

-- vyama hivi vinapiga kelele kuhusu elimu mbovu inayotolewa kwa sasa, kama wana dhamira ya kweli kuhusu elimu kwa nini hawajengi walau shule chache na waziendeshe kwa ufanisi kudhihirisha wanachopigania?

-- barabara bora zimeongezeka lakini bado hazitoshi, kwa nini wasingetumia sehemu ya ruzuku kujenga barabara mfano kule kwa kange bunda-kisorya hadi nansio ukerewe, kule kwa mama makinda na filikunjombe njombe-makete, kule kwa nchimbi na mama jenista songea-boda ya msumbiji na tz?


Nisaidieni kujibu

Inaelekea wewe hujui hata gharama za kujenga banda la kuku!
 
Posho za wenyeviti.
mbowe milion 150 kwa mwezi.
mbatia m 30.
lipumba 50.
posho ya katibu mkuu.
slaa milion 70.
wa cuf laki 5
watendaji wakuu wa vyama.
mnyika m 30.
lisu m 50.
mtatiro m 10.
mishahara ya wafanyazi milion 200.
usafi wa ofisi kuu.
ufipa milion 100.
ya kafu elfu 20.
vifaa vya ofisini.
ufipa m 50.
magwanda m 120.

panabaki kitu hapo?,bado petrol za magari na spea

umeziona wapi? Acha ujinga ww, be serious, na mimi pia napenda kujua hali halisi lakini sio upuuzi ulioandika hapa
 
Back
Top Bottom