Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

Kuna mapenzi hapa? ushauri jamani nimechanganyikiwa

Pole sana. Kwa kuwa keshakubali ni kweli alitoka nje na kwa kuwa ushaingia ndani ya ndoa huna budi kusamehe na kuvumilia. Lakini kwenye nafasi ya uamini mtoa usimpe asilimia zote tena keshaweka doa.
 
habar wana jf,..mimi ni mcchana umr kat ya miaka 23-25nlbahatka kupata kijana ambaye 2lpendana 2kawa kwny mahusiano takrban miaka miwl hatmaye mwaka jana dec 2lfunga pingu za maisha xx 2naish kam mume na mke,lkn iman yang imepotea kwake coz nlipgiwa cm na mwanamke m1 akiwa analia ananambia kw nn nmemfanyia ivo kumbe mumewang amezaa na huyo bint mtt ana miez 3 xx nlipoeka loud il mume wang ackie alikir kua ni kwl altokaga nje et mara 1 ila hana uhakika kam ni mwanae,..nishaurin jaman ni kwl itakua co mwanae?coz iman imepotea juu ya mume wang ukizngatia ndo kwnz 2namwez tang 2funge ndoa..

Hata umri wako huujui?
 
Du mwezi mmoja bado aisee. Potezea cos u have a long way to go
 
[color=redhabar wana jf,..mimi ni mcchana umr kat ya miaka 23-25nlbahatka[/color] kupata kijana ambaye 2lpendana 2kawa kwny mahusiano takrban miaka miwl hatmaye mwaka jana dec 2lfunga pingu za maisha xx 2naish kam mume na mke,lkn iman yang imepotea kwake coz nlipgiwa cm na mwanamke m1 akiwa analia ananambia kw nn nmemfanyia ivo kumbe mumewang amezaa na huyo bint mtt ana miez 3 xx nlipoeka loud il mume wang ackie alikir kua ni kwl altokaga nje et mara 1 ila hana uhakika kam ni mwanae,..nishaurin jaman ni kwl itakua co mwanae?coz iman imepotea juu ya mume wang ukizngatia ndo kwnz 2namwez tang 2funge ndoa..

yaani wewe umechaganyikiwa hadi kuandika huwezi, maana unavyoandika kama umevuta kitu cha jamaica.

hapa jamiiforums tupo watu mwenye heshima zetu, huwezi kuandika kiteja namna hivyo....! vyoooooo! shaaaatapu zako.
 
ulivyoambiwa kwenye shida na raha ulizani shida ni zipi
VUMILIA
mumeo ndo hivyo anapenda matunda lakini fruits salad
 
Pale unapoomba wana JF wapine DNA ya mtoto ili kujua ukweli. Pole lakini.
 
hizi swaga sasa zinatuharibia lugha.....

la kufanya mwambie mmeo amchukue mtoto mkampime DNA.....majibu ya DNA ndiyo yatakwambia nini cha kufanya.......
 
uwe unaandika vzr wengine humu ni wa wazee sasa short cut hatuziwezi, but pole sana msamehe, ndoa.hiyo bado changa sana vumilia.
 
ulivyoambiwa kwenye shida na raha ulizani shida ni zipi
VUMILIA
mumeo ndo hivyo anapenda matunda lakini fruits salad

jmn.si dhani kama ile kwa shida na raha..ni kuvumilia uhuni wa mtu ndo shida Mungu anayotaka tuvumilie... hapo ni kwamba hana la kufanya unless aachane nae.otherwise ajijue anae mke mwenza.coz jamaa atakua anaenda hudumia mtt wake na toto la nje ya ndoa.
 
habar wana jf,..mimi ni mcchana umr kat ya miaka 23-25nlbahatka kupata kijana ambaye 2lpendana 2kawa kwny mahusiano takrban miaka miwl hatmaye mwaka jana dec 2lfunga pingu za maisha xx 2naish kam mume na mke,lkn iman yang imepotea kwake coz nlipgiwa cm na mwanamke m1 akiwa analia ananambia kw nn nmemfanyia ivo kumbe mumewang amezaa na huyo bint mtt ana miez 3 xx nlipoeka loud il mume wang ackie alikir kua ni kwl altokaga nje et mara 1 ila hana uhakika kam ni mwanae,..nishaurin jaman ni kwl itakua co mwanae?coz iman imepotea juu ya mume wang ukizngatia ndo kwnz 2namwez tang 2funge ndoa..
ujue kuandika vizur kama mwanamke aliye barikiwa ndoa! I mean kiutu uzima we si mtt wa secondary bhana.(unless upo form6 na ushaolewa )
back to thread yako, FYI jua huyo ndiyo mke mwenzio so far. hawa watu wenye mkia mbele siyo wa kuwaamin sana... tanguliza Mungu ujue what's next.
 
Back
Top Bottom