Mdosi kaniganda

Mdosi kaniganda

Ooooooooheyaa so sweet, wana care kwakweli,ila usiogope hana nia mbaya wee usihisi ivyo maana waweza kuta hana mawazo kama unavyo hisi wewe, kua na mipaka basi
Wahindi bana watu wa ajabu sana kuna mmoja alikua kama usemavyo nikahis gari bovu lataka kuniangukia ila nikaenda nae mdomdo mwisho wa siku ni friends wa kawaida kabisa nachokushaur wewe jiwekee boundaries mapema kabla mambo hayajaharibika kwako japo unaona kabisa kua dalili zote za kukutaka zipo kua makin hawakawii kukubadilikia kuna mmoja nachompendea ni very caring na akikuambia kitu maybe anakualika dinner ukakataa bas hakupingi wala kuumia yaan kama yes ni yes kwake kama no ni no Mafikizolo pita hapa
 
Ooooooooheyaa so sweet, wana care kwakweli,ila usiogope hana nia mbaya wee usihisi ivyo maana waweza kuta hana mawazo kama unavyo hisi wewe, kua na mipaka basi

So sweet your so innocent hahhahhha hapana chezeiiya dosi
 
Hakuna kitu hapo, yawezekana ndivyo alivyo sasa utafanyaje? yawezekana huko unakohisi hayupo!
 
Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa. Yote maisha kwa mtanzania. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako. Bahati haiji mara mbili. Ni kweli there is no free lunch na kwa hiyo ni samba sana ukitafuna tuuuuu nawe ukabania cha kwako kisitafunwe. Kama unamaindi sana cha kwako bora uchunie tangu mwanzo maana kama vipi siku ya siku kutafunwa kupo tu utake usitake. Utakulaje usiliwe? Kula na kuliwa ndo mchezo wa bao ulivyo. Mwenye macho haambiwi tazama. Mlipofikia wala hahitaji kuomba bali anangojea muda muafaka ajivinjari kwa saizi yake hamna noma wala nini.
 
madamex tell us the truth, you are also falling for him right?. ana mke na watoto and what about you? uko single?

jihakikishie kwanza kama anakutaka. mi nakushauri muwe jst friends wanaofanya kazi pamoja.

well. mwisho wa siku maamuz ni yako. ila shemeji hastahili kutendwa kama yupo.

Jamani, mimi nina wanguuu....ndo maana najua how things can get complicated. Sina uzoefu sana na hawa watu ndo maana nataka nijue, maana nimeanza kupunguza kasi za kuambatana nae isijekuwa hiyo ndo inazidi kufanya issue complicated.

Ukumbukwe nikianza kumkata hata mabonus yangu yataanza kupungua....
 
Back
Top Bottom