suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
kabisaaa.....
Ahhha ananikumbusha mbali huyu
kabisaaa.....
Wahindi bana watu wa ajabu sana kuna mmoja alikua kama usemavyo nikahis gari bovu lataka kuniangukia ila nikaenda nae mdomdo mwisho wa siku ni friends wa kawaida kabisa nachokushaur wewe jiwekee boundaries mapema kabla mambo hayajaharibika kwako japo unaona kabisa kua dalili zote za kukutaka zipo kua makin hawakawii kukubadilikia kuna mmoja nachompendea ni very caring na akikuambia kitu maybe anakualika dinner ukakataa bas hakupingi wala kuumia yaan kama yes ni yes kwake kama no ni no Mafikizolo pita hapa
Ooooooooheyaa so sweet, wana care kwakweli,ila usiogope hana nia mbaya wee usihisi ivyo maana waweza kuta hana mawazo kama unavyo hisi wewe, kua na mipaka basi
So sweet your so innocent hahhahhha hapana chezeiiya dosi
Yeraaaaaa
Ahhhha nacheka hapa kama mjinga as usual lol
Hahhahahahaah kama kawizi
Looh over my dead body....haiwezekani hata
Naenda food palace ahhhha
Looh over my dead body....haiwezekani hata
Hhahaha haya we will meet each other
Ahhha ananikumbusha mbali huyu
hahahha wapi? kwa muhindi wako na ww
hahahha wapi? kwa muhindi wako na ww
madamex tell us the truth, you are also falling for him right?. ana mke na watoto and what about you? uko single?
jihakikishie kwanza kama anakutaka. mi nakushauri muwe jst friends wanaofanya kazi pamoja.
well. mwisho wa siku maamuz ni yako. ila shemeji hastahili kutendwa kama yupo.