Recent content by mapele

  1. mapele

    Wale tuliosoma advanced physics

    Kirchof's law of electricity..umachorewa mcircut complex afu ucalculate current ya point Fulani kwenye hiyo circuit..then kulikuwa na mavitu ya tonics ..all in all mi naonaga mechanics kama vile ndo ilikuwa inaokoaga jahazi..manake matopic yote ni kingkong..si tisim..si current au static...
  2. mapele

    Millions now living will never die-Jehovahs Witnesses.

    From Wikipedia. 1925 - "Millions Now Living Will Never Die" "Millions now living will never die!" was exclaimed by Rutherford in a series of public lectures starting 1918. This was related to his prophecy that the earthly resurrection would commence 1925, with the return to life of Abraham...
  3. mapele

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Vipi.kunaweza kuwa na za mabale yaliyofunguliwa nikachagua moja moja zikawa hata mia then kukawa na makibaliano ya jumla ya hizo mia nitakazochagua..
  4. mapele

    Kupata VVU si kazi rahisi

    Kapime Mzee.usiogope.
  5. mapele

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Ninataka kuanzisha biashara ya rejareja kununua mitumba ya nguo specifically T-Shirts, jeans na mashuka pia. Ninataka kujua yafuatayo 1. Ni wapi nitapata hizo bales kwa hapa Dar na muda gani bales zinapatikana. 2. Bei za bale zipoje na je zinatofautiana kwa bei? 3. Uzoefu wa biashara hii.Je...
  6. mapele

    The changing face of marginalised Kenya

    I am talking about european kenya first world country[emoji12] [emoji12] [emoji12]
  7. mapele

    The changing face of marginalised Kenya

    Hata simu kuwa reachable mwisho ni Kakuma. From there utumie simu za satellite. Small country yet u have not succeeded to tar all ur roads wala network coverage ya simu.
  8. mapele

    The changing face of marginalised Kenya

    You just relax. Kutukana dont change the fact that north kenya is full of shit.. Hata huko mnakosema kuna mafuta from Kakuma to Tarach hakuna hata defined road.. Full wilderness.. Sasa utaonea wivu umaskini kama huu. Shamefull north kenya
  9. mapele

    Magufuli anapogeuka mtetezi wa mafisadi

    Serikali ya Mihemko na figisufigisu
  10. mapele

    The changing face of marginalised Kenya

    Wakenya wa ajabu sana.. Daraja la kigamboni unalinganisha na km 6 za lami. Na ninyi jengeni la kwenu hapo Likoni ferry.. Miaka na miaka mnavusha magari na mapantoni kwa barabara ambayo ni kiunganishi cha border ya horohoro na mombasa.this is a shame. Sort out all this shit ndo muanze kujisifu...
  11. mapele

    The changing face of marginalised Kenya

    Na ile ya kwenda marsabit. Lami mwisho archers post.. from there all the way to marsabit full shit.. Nenda mpaka lake turkana via kargi. Its terrible terrible.. Huko Loiyangalani.. Its full shit.
  12. mapele

    The changing face of marginalised Kenya

    Lami mwisho kitale.. From there to lokichar to lodwar to kakuma up to lokichongio huko mpakani na sudan more than 300km full dirty road.. Hakuna cha changarawe wala nini. Full shit..
Back
Top Bottom