Kupata VVU si kazi rahisi

Kupata VVU si kazi rahisi

Mim nina ndugu anaunwa ukimwi ila kwa jinsi nilivyofatilia ugonywa huu nmekuja gundua HIV/AIDS haipo. Trust me hili gonjwa existence yake ina walakin sana
Hebu fafanua,sababu watu wanakwisha wanabaki kilo 3 na nepi na migongo inawasumbua mpaka wanaomba puu.
 
Hata me nilipita na kama watatu na wote washavuta kitambo sana ingawa ilinitetemesha kwa mara ya kwanza nikaamini nimeupata na kuacha kutumia kondom kabisa ili niambukize kwa maksudi wengine hadi demu wangu wa3 anaumwa hadi anavuta mr najiona ni keria yaani nilijiaminisha bila kupima kwamba ninao no way!
Miaka inakatika hadi ikafikia mahali kuna vitu vilinilazimu kupima nikapima niko negative sikuamini nikaenda kupima tena nikiwa bado south africa nikakutwa sina nikawa nabishana na vipimo ila mwisho nikaona kama nimezaliwa upya nikaoa na sasa nna watoto 3 wote wako shule
 
Kuna wengine hawawezi kupata,wengine hudai group o hawapati,inawezekana tiba ya hii kitu ni kitu kidogo tu na wanaotumia wanakuwa hawapati,au pengine misosi inachangia ugonjwa kuibuka ama kutoibuka
 
aisee nimejifunza sana nyada za juu mtu unatakiwa kuwa makini sana

He he heeee...matatizo kweli...yaani ukipanda meli unasema "jamani usafiri wa ndege ni mzuri sana",ukipanda gari unasema "jamani usafiri wa treni ni mzuri sana"...yaani unasema kile unachojisikia kusema na si kile ulichoki experience.Hii ndio tunaiita KASUMBA.

Nilishasema zamani sana kwamba HIV/AIDS ni kasumba tu,na si zaidi ya hapo.

Sasa angalia ninavyokuthibitishia kwamba HIV/AIDS ni kasumba;

Conclusion/hitimisho lako ni tofauti na Observation yako.Yaani umefanya ngono na mtu unayesema eti 'ameathirika' na 'hukuambukizwa' lakini hutaki kujiuliza na kuhitimisha kutokana na hili tukio lakini badala yake unahitimisha kitu tofauti kabisa,eti "nimejifunza nyanda za juu unatakiwa kuwa makini sana".He he heeee......

Mbona husemi umejifunza nini kutokana na wewe kutoambukizwa 'HIV' kwa kufanya ngono(tena wewe unaita ngono ya kiufundi haswa) na mtu 'aliyeathirika'? na badala yake unasema umejifunza kitu tofauti kabisa na hiki kilichokutokea?

He he heee...yaani ukila embe unasema 'chungwa tamu sana' na ukila chungwa unasema 'papai tamu sana'.Unajifanya kama huoni vile.

Hebu sasa tuambie,umejifunza nini kutokana na wewe kupimwa 'HIV-' baada ya kufanya ngono ya kiufundi na mtu ambaye ni 'HIV+'?Tupe jibu hapo kwanini 'hukuambukizwa 'HIV''?Ukipata jibu niite.
 
Kuna Shangazi yangu alifariki kwa ugonjwa huu miaka kumi na tano iliyopita, yeye pamoja na wanawe wadogo wawili.

Lakini cha kushangaza mumewe yuko poa mpaka leo hii, ameshapima zaidi ya mara hamsini, lakini hajakutwa na maambukizi.
Ni mzima wa afya kabisa!

Umeshawahi kujiuliza kutokana na hicho ulichokiona hapo juu?Ukijibu niite.
 
Ungekuwa wewe ni +VE ungekuwa na chance kubwa ya kumwmbukiza mwanamke kama hutumii condom kwani manii yote yanaingia kwake, kwa mwanaume kuambukizwa si rahisi kama mwanamke.

Kuna uwezekano mkubwa wewe ni mmojawapo wa wale waliotumwa kufanya kampeni za HIV/AIDS au uko kwenye NGO fulani ya mambo ya HIV/AIDS.

Natamani mimi na wewe tungekuwa kwenye Open debate ili niwaoneshe watu kwamba HIV/AIDS ni uongo wa karne na hakuna ugonjwa kama huo.

But now,just enjoy your earnings from big PHARMACEUTICALS industries before your end comes.Believe me,mwisho wenu wa kujipatia pesa kwa kuua watu wasio na hatia kutokana na uongo huu unakuja.
 
Habari zenu wakuu,

Mwaka jana tulikuwa tumesafiri kwenda nyanda za juu kusini wakati wa kurudi tulisimama wilaya fulani mjini kwa ajili ya kuongeza maji bahati mbaya tulisahau kufunga mfuniko wa rejeta, baada ya kutembea kilometa kadhaa gari ikawa inaishiwa nguvu kwenda kuangalia maji yote yamemwagika japo tulijaribu kuongeza mengine haikusaidia ikabidi turudi kwenye ule mji tulioupita kwa kuvuta gari tuliwaomba hawa jamaa wa it.

Tulivyorudi garage ikaonekana tatizo sio la kuisha muda ule kwani silinda head imepinda na wahindi wanaonyoosha hawafanyikazi J2 basi tukaazimia kulala kesho yake J3 tushughulikie na kuanza safari, wakati naenda duka fulani kununua vocha kuwataarifu ndugu na jamaa mkasa uliotukuta nikakutana na demu fulani tuliosoma naye primary yeye alivyofeli la saba alikuja mjini kumsaidia dada yake kwenye mgahawa, basi baada ya mawili matatu nikampa namba ya simu kama baadae ataweza kuja tupige pige stori.

Kufupisha habari usiku kama wa SAA 4 hivi nikaona meseji upo chumba gani sababu nilijua ni yeye tu nikamwelekeza na kumfungilia mlango, baada ya stori za maisha za hapa na pale ukafika mda wa kula tunda kusema kweli alinifariji machungu ya safari na mkasa wa uzembe ule ambao kwa kiasi ulitugharimu pesa sana nakumbuka nilipiga bao3 tu kwa usiku ule ila zilikua za ufundi haswa.

KISA CHENYEWE.
Baada ya kupotezana kwa muda bila mawasiliano na huyu mwanamke jana nimeona meseji yake ananisalimia anasema aliibiwa simu hata hivyo alikuwa anaumwa kwa mwonekano wa picha yake huwezi bisha kuwa anaumwa sana nikajaribu kumdadisi nini kinamsibu akanimbia wazi ameathirika na ushahidi akanionyesha na akaomba samahani kama amaeniambukiza kwani ana uhakika aliyemwambukiza ni mzazi mwenziye anayefanya biashara ya mbao na alikuwa naye kabla hata mimi sijatembea naye, kweli nimemtoa hofu kuwa mimi niko mzima na nimemwahidi kumsaidia kama itabidi kwani nimepima mara nyingi tu na niko -ve. Sasa nimefikiria kama bao 3 hazikutosha kunipa VVU huu ugonjwa ni selective sana au sio rahisi kuupata wajuvi nisaidieni.
Yeap mungu akupanga upate so inawezekana hauna na uko salama na we si mtu wa kwanza wapo weng wamenusulika katka jangwa hilo muhimu kua mwangalifu na afya yako IPO mikononi mwako
 
He he heeee...matatizo kweli...yaani ukipanda meli unasema "jamani usafiri wa ndege ni mzuri sana",ukipanda gari unasema "jamani usafiri wa treni ni mzuri sana"...yaani unasema kile unachojisikia kusema na si kile ulichoki experience.Hii ndio tunaiita KASUMBA.

Nilishasema zamani sana kwamba HIV/AIDS ni kasumba tu,na si zaidi ya hapo.

Sasa angalia ninavyokuthibitishia kwamba HIV/AIDS ni kasumba;

Conclusion/hitimisho lako ni tofauti na Observation yako.Yaani umefanya ngono na mtu unayesema eti 'ameathirika' na 'hukuambukizwa' lakini hutaki kujiuliza na kuhitimisha kutokana na hili tukio lakini badala yake unahitimisha kitu tofauti kabisa,eti "nimejifunza nyanda za juu unatakiwa kuwa makini sana".He he heeee......

Mbona husemi umejifunza nini kutokana na wewe kutoambukizwa 'HIV' kwa kufanya ngono(tena wewe unaita ngono ya kiufundi haswa) na mtu 'aliyeathirika'? na badala yake unasema umejifunza kitu tofauti kabisa na hiki kilichokutokea?

He he heee...yaani ukila embe unasema 'chungwa tamu sana' na ukila chungwa unasema 'papai tamu sana'.Unajifanya kama huoni vile.

Hebu sasa tuambie,umejifunza nini kutokana na wewe kupimwa 'HIV-' baada ya kufanya ngono ya kiufundi na mtu ambaye ni 'HIV+'?Tupe jibu hapo kwanini 'hukuambukizwa 'HIV''?Ukipata jibu niite.
mkuu mstari wa mwisho wa post mwanzo nimeeuliza je huu ugonjwa unabagua au bao3 hazikutosha mimi kuupata.
 
Kuna uwezekano mkubwa wewe ni mmojawapo wa wale waliotumwa kufanya kampeni za HIV/AIDS au uko kwenye NGO fulani ya mambo ya HIV/AIDS.

Natamani mimi na wewe tungekuwa kwenye Open debate ili niwaoneshe watu kwamba HIV/AIDS ni uongo wa karne na hakuna ugonjwa kama huo.

But now,just enjoy your earnings from big PHARMACEUTICALS industries before your end comes.Believe me,mwisho wenu wa kujipatia pesa kwa kuua watu wasio na hatia kutokana na uongo huu unakuja.
Inasikitisha sana kuona baada ya mafanikio makubwa ya research na technology ARV's sasa hivi zinaokoa maisha ya watu na wewe unashawishi watu wasinywe. Unajua kuwa kuna hatua chache zilizobaki kwa tiba kupatikana?
 
Inasikitisha sana kuona baada ya mafanikio makubwa ya research na technology ARV's sasa hivi zinaokoa maisha ya watu na wewe unashawishi watu wasinywe. Unajua kuwa kuna hatua chache zilizobaki kwa tiba kupatikana?

He he heee...eti hatua chache tiba kupatikana....

unajua kama maneno kama hayo yaliwahi kusemwa miaka zaidi ya 20 iliyopita?Vivyo hivyo maneno kama hayo yaliwahi kusemwa kuhusu tiba ya cancer miaka 100 imepita sasa....taasisi ya utafiti wa cancer ilianzishwa miaka ya 1890's,miaka zaidi ya 100 imepita...je,unataka pia uongo huu wa HIV/AIDS uendelee kuua watu kwa muda kama huo halafu ndio mje mseme mlikuwa mmekosea?

Unajua historia ya magonjwa yafuatayo?SMON,PELLAGRA na SCURVY?
Unajua kwamba magonjwa haya yalidhaniwa kuwa infectious kwa makusudi kabisa halafu baadaye watu walistukia uongo na kugundua kwamba sio infectious lakini walikufa sana kutokana na uongo huo?
Basi ujue vivyo hivyo kwa HIV/AIDS.Wewe endelea kusubiri kupatiwa tiba wakati hujui kwamba tiba ni kujitambua kwako na kupenda kudadisi na kujiuliza ili kuondokana na hii kasumba.

By the way,unajua madhara ya ARVs ndio yanayoua na si HIV(feki)?Najua utasema kwamba kila dawa ina side affects....he he heee....

sasa nakwambia kwamba ARVs hazina side effects bali zina DIRECT effects.Unajua tofauti ya SIDE effects na DIRECT effects?

We don't have HIV/AIDS,but we have ARVs/AIDS.Wake up and stop now being agent of Illuminati killing innocent people for the sake of money.
 
He he heee...eti hatua chache tiba kupatikana....

unajua kama maneno kama hayo yaliwahi kusemwa miaka zaidi ya 20 iliyopita?Vivyo hivyo maneno kama hayo yaliwahi kusemwa kuhusu tiba ya cancer miaka 100 imepita sasa....taasisi ya utafiti wa cancer ilianzishwa miaka ya 1890's,miaka zaidi ya 100 imepita...je,unataka pia uongo huu wa HIV/AIDS uendelee kuua watu kwa muda kama huo halafu ndio mje mseme mlikuwa mmekosea?

Unajua historia ya magonjwa yafuatayo?SMON,PELLAGRA na SCURVY?
Unajua kwamba magonjwa haya yalidhaniwa kuwa infectious kwa makusudi kabisa halafu baadaye watu walistukia uongo na kugundua kwamba sio infectious lakini walikufa sana kutokana na uongo huo?
Basi ujue vivyo hivyo kwa HIV/AIDS.Wewe endelea kusubiri kupatiwa tiba wakati hujui kwamba tiba ni kujitambua kwako na kupenda kudadisi na kujiuliza ili kuondokana na hii kasumba.

By the way,unajua madhara ya ARVs ndio yanayoua na si HIV(feki)?Najua utasema kwamba kila dawa ina side affects....he he heee....

sasa nakwambia kwamba ARVs hazina side effects bali zina DIRECT effects.Unajua tofauti ya SIDE effects na DIRECT effects?

We don't have HIV/AIDS,but we have ARVs/AIDS.Wake up and stop now being agent of Illuminati killing innocent people for the sake of money.
Kama madhara ya ARV's ndiyo yanaua inakuwaje watumiaji waishi kwa miaka 40-50 na ugonjwa kwa hizi zinazotoka sasa ? percentage ya wanaopata side effects kama zipo ni ndogo sana kulinganisha na kuokoa maisha.
Kuna watu walishakuwa kwenye undectectable status lakini kwa kupigania future generation walikubali kuacha kunywa dawa katika research, viral load ilirudi na wengine mpaka sasa hawajaweza kupatiwa stable treatment lakini kwa kuhatarisha kwao maisha imejulikana kuwa ARV's hazitibu kwa sasa.
 
Kuna uwezekano mkubwa wewe ni mmojawapo wa wale waliotumwa kufanya kampeni za HIV/AIDS au uko kwenye NGO fulani ya mambo ya HIV/AIDS.

Natamani mimi na wewe tungekuwa kwenye Open debate ili niwaoneshe watu kwamba HIV/AIDS ni uongo wa karne na hakuna ugonjwa kama huo.

But now,just enjoy your earnings from big PHARMACEUTICALS industries before your end comes.Believe me,mwisho wenu wa kujipatia pesa kwa kuua watu wasio na hatia kutokana na uongo huu unakuja.
mkuu umeongea point sana Kuna siku nilienda hospital kitengo cha vvu pale bahati nzuri nikawa napiga stori na wale madocta na maswali kwanza kile kipimo wanachopimia hakionyeshi huyu mdudu hiv badae nikawa namtwanga maswali Yale yako niliyachukua kwenye uzi flan sasa kumuuliza akanijibu hii ni miradi ya watu yaani zile dawa daa ndiyo nikaamini.. ila kiukweli mkuu hiv hamna na kinachoua watu si hiv ila kinachoua watu ni pale anapoambiwa ameathirika...
 
Back
Top Bottom