Are you talking about Kenya ama your entire low income country??You just relax. Kutukana dont change the fact that north kenya is full of shit.. Hata huko mnakosema kuna mafuta from Kakuma to Tarach hakuna hata defined road.. Full wilderness.. Sasa utaonea wivu umaskini kama huu. Shamefull north kenya
Just like Mwanza... My deskmate was from there.... He used to tell me. Haha.misifa humu ndani lakini in reality hovyoooo....wiki mbili hivi zimepita a kenyan friend kaniambia antembeze apo dunga beach kisumu. dahhh nlichokiona, jaluos defacating into the lake @ midday. alaf wanavua samaki apooo kinyesini!!...yaani ilkuwa kinyaaaa, just told my guy, av seen enough.
I am talking about european kenya first world countryAre you talking about Kenya ama your entire low income country??
mwenye macho haambiwi tizamaLami mwisho kitale.. From there to lokichar to lodwar to kakuma up to lokichongio huko mpakani na sudan more than 300km full dirty road.. Hakuna cha changarawe wala nini. Full shit..
Oh... You got that right.. First World country.. Lakini msijali we wont forget you.. Our dear brothers and sisters.I am talking about european kenya first world country
Nitakupa taarifa tu.....Mapele, nikama una upele wa fikra wewe. Small poor Kenya had 14.12% of paved roads out of a total road length of 161,415 while Tanzania had 8.63% of paved roads out of a total road length of 86,472. This is according to nationmaster. Hio yamaanisha barabara za lami ni 22792 in Kenya na 7463km kwa Tanzania
Kisha ukumbuke Tanzania ni kubwa zaidi ya mara mbili kuliko Kenya kwa hivyo île shit umeona Kenya ushaizoea huko bongo.
Link ndio hii hapa :-
Countries Compared by Transport > Roads > Paved > % of total roads. International Statistics at NationMaster.com
Hivyo ni vyote ni kweli kwa kuwa hakuna nchi itafanya maendeleo huku nyingine zikiwa zimesimama...Ndio, nishakupata. Hizo takwimu ni za jadi na hapo pia ugatuzi haukua umekithiri Kenya. Barabara nyingi sana zimejengwa na serikali ya majimbo Ili kuziunganisha na nchi zima.
Kwa hivyo, ingawa natambua ule mradi wa kikwete wa kuunganisha mikoa, sioni vile yawezekana kwa Tz kujenga barabara zaidi ya kilomita 15000 Ili iweze kupiku ile idadi ipo hapo juu ya Kenya. Bila hata kuzingatia kuwa Kenya imejenga pia kilomita mingi ya barabara tangu huo wakati. Mwenzenu asijitahidi hapa kukejeli Kenya bila ya kutambua uhalisia wa miundo msingi kama barabara nchini Kenya ikilinganishwa na taifa la jumuia ya Tanzania
Mkuu unaeleweka vyema sio kukurupukwa ovyo kaa wengine humu.Hivyo ni vyote ni kweli kwa kuwa hakuna nchi itafanya maendeleo huku nyingine zikiwa zimesimama...
Kenya mpo vyema katika miundombinu kwa kuwa mpo katika nafasi nzuri zaidi kuliko sisi yaani kifedha na kijiografia kwa mfano:- Tz kuna mito mingi ambayo ni seasonal hivyo , barabara nyingi hutakiwa kujengwa ikiambatanishwa na madaraja ambayo huongeza costs za barabara .....
Lakini pia tambua kuwa , barabara nyingi za Tanzania zimejengwa kwa kms nyingi compared to Kenya kwa kuwa umbali wa kuunganisha mikoa ya Kenya ni tofauti na Tanzania .....
Nimeiona taarifa yenu ya kujenga barabara on north Kenya ambayo ni sawa na yetu kwa south tz ingawa kwa Tanzania kazi ni kubwa zaidi kwa sababu za kijiografia.... Hivyo cost ni tofaut
Kibaki alijitahidi katika miundombinu kama kikwete pia..
Alafu nimeupenda mfumo wenu wa serikali za kijimbo maana unazidi kuwarahisishia maendeleo..
M
Mkuu unaeleweka vyema sio kukurupukwa ovyo kaa wengine humu.
inakaa huu upele upo mpaka kichwani hadi fikra hamna.hiyo barabara tarred iko mwisho marich pass si kitale.it used to be tarred mpaka lodwar ni vile ilikua neglected. evidence enda kainuk u will get patches of former road.ni kama ile ya el wak-rhamu-mandera iliwekwa lami but ikabomoka with time since kenyattas tym i have traversed the whole of northern kenya usilete vitu unasoma kwa blog.Lami mwisho kitale.. From there to lokichar to lodwar to kakuma up to lokichongio huko mpakani na sudan more than 300km full dirty road.. Hakuna cha changarawe wala nini. Full shit..